Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

inch 55 samsung smart tv used six month warranty...bei 1800000/=
IMG-20180726-WA0022.jpg
IMG-20180726-WA0015.jpg
IMG_20180726_095859_554.jpg
 
CC fuu xkuz mkuu pole ila ktk wengi kuna mengi nimeshawai kununua tv kwa mdau mmoja humu nikatumiwa mpaka nilipo ila sikumaliza week 2 nilifatwa na polis nikatiwa ndani hio tv kumbe imeibiwa dar es salama..jaribu kudil na watu wenye maduka wanaolipa kodi na Tin za biashara wapo humu humu watu wanaojulikana duka zao zilipo na mizigo yao wanapoitoa kiasi kwamba sisi wa mikoani tukija dar tunajua tv 10 au 20 unazipata wapi kwa jumla sio hawa wa kuuza tv moja moja itakula kwako utauziwa mbovu, ya wizi, utatapeliwa jaribu kufanya biashara na watu kama Algeciras, Salum s hemed, abdulwahid
 
Nahitaji tv curved 2700000 ila naulizia una utaratibu wa kulipia mzigo kidogo kidogo
inawezekana mkuu kama upo dar es salama utafika shop zetu za mnazi mmoja pale utapewa utaratibu wa kulipa kwa awamu na risti zako utakuwa unapatiwa za kuonyesha ulicholipia na balance..kwa more info piga 0629565168
 
inawezekana mkuu kama upo dar es salama utafika shop zetu za mnazi mmoja pale utapewa utaratibu wa kulipa kwa awamu na risti zako utakuwa unapatiwa za kuonyesha ulicholipia na balance..kwa more info piga 0629565168
Pouwa mm ni mkazi wa dar ila nipo kikazi uku Mtwara nikija kucheki familia nitakuja hapo mnaz mmoja
 
inawezekana mkuu kama upo dar es salama utafika shop zetu za mnazi mmoja pale utapewa utaratibu wa kulipa kwa awamu na risti zako utakuwa unapatiwa za kuonyesha ulicholipia na balance..kwa more info piga 0629565168
mzee wa task force last week nimekutafuta sana no yako ilikuwa aiunganishwi na shida ya kioo cha inch 50 samsung smart tv kuna tv yangu mmoja imevunjika shop kwangu kwa bahati mbaya ni mmoja katika zile ulizoniuzia mara ya mwisho mzee wa kazikazi naomba unifanyie maujanja huko zanzbar au dar nipate kioo pliz
 
CC fuu xkuz mkuu pole ila ktk wengi kuna mengi nimeshawai kununua tv kwa mdau mmoja humu nikatumiwa mpaka nilipo ila sikumaliza week 2 nilifatwa na polis nikatiwa ndani hio tv kumbe imeibiwa dar es salama..jaribu kudil na watu wenye maduka wanaolipa kodi na Tin za biashara wapo humu humu watu wanaojulikana duka zao zilipo na mizigo yao wanapoitoa kiasi kwamba sisi wa mikoani tukija dar tunajua tv 10 au 20 unazipata wapi kwa jumla sio hawa wa kuuza tv moja moja itakula kwako utauziwa mbovu, ya wizi, utatapeliwa jaribu kufanya biashara na watu kama Algeciras, Salum s hemed, abdulwahid
Hata Amazinglifestyletz wako poa sana,nimeshaagiza kwao,wamenitumia mzigo mpaka nilipo,hawa wana duka kubwa maeneo ya Sinza..
 
mzee wa task force last week nimekutafuta sana no yako ilikuwa aiunganishwi na shida ya kioo cha inch 50 samsung smart tv kuna tv yangu mmoja imevunjika shop kwangu kwa bahati mbaya ni mmoja katika zile ulizoniuzia mara ya mwisho mzee wa kazikazi naomba unifanyie maujanja huko zanzbar au dar nipate kioo pliz
mkuu pole kwa kukosa mawasiliano ila pole zaid kwa kuvunja icho kioo..nitumie model ya hio tv kule wahtsapp tunaweza kufanya maajabu ila jipange display yake sio chini ya 750000
 
mkuu pole kwa kukosa mawasiliano ila pole zaid kwa kuvunja icho kioo..nitumie model ya hio tv kule wahtsapp tunaweza kufanya maajabu ila jipange display yake sio chini ya 750000
poa mkuu nakutumia model fasta no way nitalipa nimeshazunguka vya kutosha hakuna hata aliyenipa matumaini
 
Back
Top Bottom