Wakuu nahtaji TV nchi 32+ kampuny yyte iwe nzima bajet yngu 250,000 mwnye NAyo anichk fasta
Kuna jamaa aliniuzia tv inchi 24,, mapatano ilikuwa tv lg 32. Baada ya hapo tulikubaliana anirudishie pesa kidogo mpaka dakika hii amegoma kunimalizia pesa yangu,, ilikuwa mwezi wa pili sasa ni mwezi wa tisa.
Nashauri, mnauza bidhaa muwe waaminifu na mnauziwa/kununua bidhaa mtandaoni kuweni makini sana aisee!!
Yupo humu ndio,,, nampa siku tatu,,, baada ya hapo nitaweka namba zake za simu humu.Pole mkuu lkn kama alokufanyia huo uhuni yupo humu ndani kwann usimtaje? Ili wadau wawe na tahadhari nae zaidi
Wew Amani punguza roho mbaya wewe ktk Thread yako huwa unafukuza wadau wasitangaze bidhaa za tv n.k unasema ile thread ni ya kwako tena unafukuza wadau kuwa waje ktk jukwaa ili sasa mbona na wew unakuja kujitangaza huku huku na wewe ufukuzwe?? Acha ubinafsi
Men weka no zako basi hii kitu inaitajikaSamsung led tv inch 42...bei 650000/=View attachment 860639View attachment 860645View attachment 860647
Mkuu hizi tv ni za kutoka nchi gani?Nakuletea na kukufungua bureeeeee kama upo dar. Tupo KINONDONI MWANAMBOKA karibu na kituo cha mwendokas mwanamboka upande wa barabara ambao magari yanaenda Magomen 0658 18 47 97 au 0752 18 47 97 View attachment 865069View attachment 865070View attachment 865071
Sio mbinafsi mimi na hii link sija iweka mimi jiulize jf nimeanza kupost lini na sijawahi kuingia hukuWew Amani punguza roho mbaya wewe ktk Thread yako huwa unafukuza wadau wasitangaze bidhaa za tv n.k unasema ile thread ni ya kwako tena unafukuza wadau kuwa waje ktk jukwaa ili sasa mbona na wew unakuja kujitangaza huku huku na wewe ufukuzwe?? Acha ubinafsi
Sawa mpe taarifa huyo mwingne asifukuze watu kule maana watu wengine wanakosea km yeye alivyokosea leo..ijumaa mubarakSio mbinafsi mimi na hii link sija iweka mimi jiulize jf nimeanza kupost lini na sijawahi kuingia huku
Na wasomaji zaidi ya 2000 wanao pitia link yangu na napokea sim na sms zaidi ya unavyo dhani ndio mana sikuwahi kupost bidhaa zetu ndani ya post ya mtu
Naomba utusamehe kama tulekukwaza aliepost humu ni mwingine sio mimi
Mkuu sorry kwa hilo
0629565168 no ipo ktk avatar yangu...km ni hio Samsung nimeshauza mkuuMen weka no zako basi hii kitu inaitajika
Mkuu km aujapata tv ni check 0629565168Natafuta used tv kuanzia 24-32" kwa ajili ya barbershop. Iwe katika hali nzuri.
Ni check nikupe LCD aina ya goodmans inch 32 kwa 300000/= call 0629565168Wakuu nahtaji TV nchi 32+ kampuny yyte iwe nzima bajet yngu 250,000 mwnye NAyo anichk fasta
Italy bossMkuu hizi tv ni za kutoka nchi gani?
Mzee baba njoo nikupe bei sawa na bure. Ukinchek nijulishe nmekupa namba jamiiforum 0658 18 47 97Natafuta Tv mbili LED za Samsung LG au TCL moja iwe inch 50 nyingine 43
Hio tv mbona ipo nyumbani?kwa nin inauzwa? Ina uzima? Na risti iliyonunuliwa nayo awali ipo?Lg 42inch led tv
Ni ya mtumba
Bei 670k
Nicheki kwa no 0716917896 kama upo serious na biashara