Kuna Chupa ya chai hapo hio inauzwa kiasi gani?Lg 42inch led tv
Ni ya mtumba
Bei 670k
Nicheki kwa no 0716917896 kama upo serious na biashara
Ndicho ulichokiona, waswahili bana kila sehemu ni mzaha tu maana mswahili choo anaweza kukifanya bafu na bafu akalifanya kuwa chooKuna Chupa ya chai hapo hio inauzwa kiasi gani?
Unayo na bei yake ikoje?Mkuu km aujapata tv ni check 0629565168
mi pia kuna jamaa tulipatana model nyingine akatuma anayoijua yeye, iliniletea shida sana, ila abdulwahid hana tatizo na sidhani kama ashawahi kufanya ujinga huo ....Kuna jamaa aliniuzia tv inchi 24,, mapatano ilikuwa tv lg 32. Baada ya hapo tulikubaliana anirudishie pesa kidogo mpaka dakika hii amegoma kunimalizia pesa yangu,, ilikuwa mwezi wa pili sasa ni mwezi wa tisa.
Nashauri, mnauza bidhaa muwe waaminifu na mnauziwa/kununua bidhaa mtandaoni kuweni makini sana aisee!!
Sasa mkuu povu la nini? Km aiuzwi si basi mkuu[emoji12]Ndicho ulichokiona, waswahili bana kila sehemu ni mzaha tu maana mswahili choo anaweza kukifanya bafu na bafu akalifanya kuwa choo
IPO kampuni Ya Evvoli ntakuuzia kwa 470k ni Smart pia Android version ni 7 ina Internal storage 8Gb ukihitaji piga 071636999 napatikana mwenge lufungila, Dar es salaam450 ipo kwa tv yoyote smart 32 nipo arusha
Ina tatizo gani?Nauza Sony home theatre original..
Model no, dav-dz950
Mziki mnene
Watts 1000
Iko complete
Spika nne ndefu
Bei 700,000
0713799522
View attachment 867679View attachment 867680
Hii tcl ni ile ya Android ama ni Linux?
Tcl nyingi za bongo ni zile 2 series zina run Linux kama hio ionekanayo hapo. Hawajaleta Roku tv ila cha ajabu matangazo wanayopostigi inawekwa Roku Tv.Ina run Os ya Roku ? Je kitu ni kipya kabisa au
Weka contact
Natafuta Tv mbili LED za Samsung LG au TCL moja iwe inch 50 nyingine 43
mi pia kuna jamaa tulipatana model nyingine akatuma anayoijua yeye, iliniletea shida sana, ila abdulwahid hana tatizo na sidhani kama ashawahi kufanya ujinga huo ....
Mtaje ili tumwepukeKuna jamaa aliniuzia tv inchi 24,, mapatano ilikuwa tv lg 32. Baada ya hapo tulikubaliana anirudishie pesa kidogo mpaka dakika hii amegoma kunimalizia pesa yangu,, ilikuwa mwezi wa pili sasa ni mwezi wa tisa.
Nashauri, mnauza bidhaa muwe waaminifu na mnauziwa/kununua bidhaa mtandaoni kuweni makini sana aisee!!
Mkuu hio bei yako mbona aina tofaut na dukani kwa wahindiSony dav-dz950View attachment 867681
Mkuu nitumie picha whtsapp pamoja na model yake 0656104325 tunaweza kumaliza biashara asubhui hii hiiLG inch inch 32 smart tv second hand UK...price 500000/=View attachment 867788View attachment 867786View attachment 867787
Huwez pata hiyo hometheater dukani kwa 700,000. Zunguka dar nzima hutapata. Jumla pekee ni zaid ya 850,000. Naongea kama muuzajMkuu hio bei yako mbona aina tofaut na dukani kwa wahindi