Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Model number
Hiyo
IMG_20200613_144559.jpeg
 
HABARI.....?

wanahitajika madalali tufanye biashara ya magodoro moja kwa moja kutoka kiwandani ,,na mchakato wao mkubwa utakuwa ni kuleta wateja wa jumla na reja reja,,, na watapata malipo kama kawaida punde wanapoleta mteja.,dalali utapata 20% kutoka kwenye 20% ya faida inayopatikana kwenye kampuni

Kwa mawasiliano zaidi 0692449416

kiwanda kipo Dar es Salaam ila huduma inapatikana Tanzania nzima hivyo hii fursa ni kwa yeyote aliye ndani ya Tanzania.

PITIA DARASA KIDOGO ILI UWEZE KUJUA BRAND YETU
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Habari wanajamvi...?
kampuni ya OCEANKISS LTD, inachukua fursa ya kuwakaribisha wateja wote muweze kujipatia magodoro bora kabisa kwa gharama nzuri yenye unafuu na hii ni kwa watu wote mlio ndani ya Tanzania na nnje vile vile kwa wale mnaohitaji kuwa maagent wa godoro zetu huu ni wakati wenu tunawakaribisha sana bila kusahau wale wa reje reja : kwa mawadiliano zaidi piga 0692449416

AINA YA GODORO TULIZO NAZO
1.Oceankiss
2.Okle
3.Relax
4.Fahari

1.OCEANKISS
hili ni godoro lenye high density yaani ujazo wa kiwango cha juu zaidi kiujazo na ubora na denisity yake ni 23density

2.OKLE
hili nalo ni godoro lenye high density yaani ujazo wa kiwango cha juu zaidi kiujazo na ubora na denisity yake ni 23density

3.RELAX
hili ni godoro lenye ubora wa kiwango cha pili yaani ujazo wa kiwango chake kiujazo na ubora denisity yake ni 20density

4.FAHARI
hili ni godoro la standard kabisa na ujazo wake kiubora ni 16density

5.SPRING MATTRESS
hizi ni zile godoro za mneso mneso

hivyo kwa wale wateja wanaopenda godoro za mneso yaani spring mattress zipo

VITU VYA ZIADA KUFAHAMU KWA MTEJA
kupitia majina ya brand za godoro zetu nilizo orodhesha hapo juu....godoro zimejigawa sehemu tano
1.WOC
2.WC
3.TX
4.VQ
5.MEDICAL MATTRESS

1.WOC
ni godoro lisilo na cover kwa lugha nyeoesi godoro lililo uchi

2.WC
hili ni godoro lenye vover

3.TX
hili ni godoro lenye upindo pembeni yaani linakuwa limenkshiwa kwa upimdo pembe zote za godoro

4.VQ
hil ni godoro lililozungukwa na upindo pembeni vile vile linakuwa limenkshiwa katikati kwa kuwekwa vyumba vyumba mfano wa kashata

5.MEDICAL MATTRESS
kwa wale wenye matatizo ya mgongo hili ndiyo linafaa na hutumika kama dawa ya mgingo wako..

bila kusahau kwa wale mafundi sofa pia godoro zenu zipo

wote mnakaribishwa karibuni sana

Mawasiliano piga 0692449416
FB_IMG_1591267957121.jpg
 
Kwa mara nyengine leo tunaendelea kusambaza huduma zetu kwa gharama nafuu ktk maeneo tofaut ya nchi

Samsung smart 49" USA RIVER-ARUSHA
Star x led 32" ARUSHA Mjini
Hisense led 40" Kilosa Morogoro
Hisense led 43" Mtwara
TCL Smart android 43" Mbeya
Shukran kwa wote walioamua kufanya kazi na sisi
Allah awabariki sana
IMG_20200615_123522_511.jpeg
IMG-20200615-WA0023.jpeg
IMG-20200615-WA0021.jpeg
IMG-20200615-WA0020.jpeg
IMG-20200615-WA0018.jpeg
IMG_20200615_104644.jpeg
IMG_20200615_094116.jpeg
 
Wakuu mliotangulia kumiliki TCL 55" naombeni uzoefu wenu kuhusiana na ubora wa TV, uimara, umri wa MAISHA yake na cha muhimu zaidi kwangu ubora wa picha. Nataka kushuka kwenye Samsung nipande TCL.
Nawasilisha.
 
Hisense led 43" to Arusha
Tcl smart 4k Android tv 50 to Iringa
Hizo tumezituma jana kwa wadau na leo in shaa Allah watapokea tv zao
Ahsanteni sana
0777650286/0718919725
IMG_20200617_133018_009.jpeg
IMG_20200617_133018_011.jpeg
IMG_20200617_132546_589.jpeg
IMG_20200617_132546_591.jpeg
 
Back
Top Bottom