Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
Bei Gani hii?Mapema leo tumeituma hiyo dodoma kwa mdau amabae atalipa baada ya kupokea mzigo, huyo tuliemuadress ndo muakilishi wetu Dodoma
Ndie atapokea na kumkabidhi mteja
Ni cash on delivery
Samsung curved uhd 55"
Karibuni nyoteView attachment 1451633View attachment 1451634
Sent using Jamii Forums mobile app
1.65mBei Gani hii?
Mkuu vipi..mna tower fan za joto kama hii?View attachment 1484418
Hapana kiongozi
Posta wamesafirisha kwa Bei gani had Moshi,?Kutoka Posta Zanzibar hadi Moshi Kilimanjaro
Ni Samsung smart 4k 55" kwa mdau Moshi
Ahsante watu wa kaskazini kwa kuendelea kutuamini
Bado tunaendelea kukupa kilichobora kwa gharama nafuu kabisa
0777650286View attachment 1484561View attachment 1484562
Lg 55"'oled bei gani?Tcl 55" to Iringa
Hisense 32" to Singida
Ahsanteni sana
Tunaendelea kukupatia kilicho bora kwa gharama nafuu popote ulipo
Karibuni sanaView attachment 1466376View attachment 1466377
Hisense smart 49" kwa mdau Kivule Dar es salaam
Inapokewa na wakala wetu Seif Hamed
Kisha tunampelekea mdau hadi nyumbani kwake kivule, malipo ni baada ya mteja kupokea tv yake
Karibuni nyote
0777/650286/0718919725View attachment 1466566View attachment 1466567
Haaaaaahaaaaa
Ahahaaa....mkuu kauze tu Kama scrap kwa mafundi,upate ata pesa ya soda.
Hulipi kodi.yoyote ukienda kupokeaPosta wamesafirisha kwa Bei gani had Moshi,?
Gharama za usafiri ni za Nani,?
Unapewa tracking number,?
Inachukua siku ngapi mzigo kufika?
Inakupa Kodi unapochukua mzgo au inakuwaje?
Lg 55"'oled bei gani?
Sawa mkuuHiyo tv uzito wake ni 25kg, EMS mzigo wenye uzito kama huo ni 150000 popote Tanzania(ukijumlisha na gharam za kuifunga kama hivo)
Gharama za kusafirisha ni za mteja, lkn pia kwa tv kubwa kama hiyo tunakuchangia pia na sisi
Tracking namba lazima upewe, kwa sababu kule ukienda kupokea mara nyengn hupewi kama huna namba ya mzigo
Siku moja tu, ya 2 unaipokea, manake kama nikiituma leo asubihi kesho yake mapema unaipokea
Hulipi kodi.yoyote ukienda kupokea