Huyu jamaa uhakika mm nilienda Hadi mtendeni kuhakikisha,I guarantee youMkuu ungejaribu kuwaomba wateja ambao tayari umeshafanya nao biashara wawe wanaleta mirejesho ili kukupa credit hapa jukwaani kwa watu ambao wanaweza kuwa na wasiwasi kwenye biashara yako kiongozi...!
Zinazo mkuu
Zinasupport flash na SD card, pamoja na FM redio bila chenga
Nimefurahi kuona mkoa nilipo,umetajwa kwenye orodha ya kulipa baada ya kupokea mzigo.Ngoja nijichange ili niagize tv!Kitu kingene ndugu kukuhakikishia usalama kuna maeneo unaweza kuagiza ukalipa baada ya kupokea, kama Dar, Mbeya, Lindi na Mtwara, Dodoma na hata Singida
Nimefurahi kuona mkoa nilipo,umetajwa kwenye orodha ya kulipa baada ya kupokea mzigo.Ngoja nijichange ili niagize tv!
Ipo samsung SMART TV 32inch used . Bei 350,000. Dar es salaam. 0754849763mimi nahitaji flat screen TV.
nzuri ambayo ni HD za sifa nyingine
nina 300,000/=
Yes, . Unachomeka ANTENNA tu,. Ila kama eneo ulipo zipo FREE TERRESTRIAL DIGITAL CHANNELS unapata tu.Samahan wakuu naomba kufaham tv zenye build in decoder znafanya vp kaz?
Naweza pata channels paspokuwa na king'amuzi?
Samahan hata channels znazopatkana kwenye kinga'muz cha azam naweza zipata?Yes, . Unachomeka ANTENNA tu,. Ila kama eneo ulipo zipo FREE TERRESTRIAL DIGITAL CHANNELS unapata tu.
Azam mfumo wao ni wa HEVC 265, na ni 4k. Kama TV yako ni ya kawaida haiwezi.Samahan hata channels znazopatkana kwenye kinga'muz cha azam naweza zipata?
haina Bluetooth[emoji58]
Uki vzr ndugu, Tanga nachukua mzigo wangu bila shida.Kitu kingene ndugu kukuhakikishia usalama kuna maeneo unaweza kuagiza ukalipa baada ya kupokea, kama Dar, Mbeya, Lindi na Mtwara, Dodoma na hata Singida
Bei yakeUmpex Subwoofer kwa mdau Mafinga
Hii Subwoofer ni nzuri na mziki wake ni zaid ya baadhi ya hometheater zeny 1000W
Na Evvoli led 43" hii tumepeleka Dodoma leo
Asanteni waungwana kwa support zenu
0777650286/0718919725View attachment 1641763View attachment 1641764View attachment 1641768View attachment 1641770
Bei yake