Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

mkuu mi nataka flat 50 au 55 inches...naomba bei
 
mkuu mi nataka flat 50 au 55 inches...naomba bei
Samsung led 50" 1.4m
Samsung smart 50" 1.7m
Lg led 49" 1.35m
Lg uhd smart (4k) 49" 1.65m
Tcl smart 50" 1.1m
Star x led 50" 1m
 
Ninahitaji Flat TV mbili LED 32" aina yoyote (Budget 300,000 each)
 
nauza Panasonic inch 50 kwa sh 1,300,000/=kwa mawasilino piga 0713449460/0755206666/0784449460
 
Mwenzenu nataman kuwa na tv hata ya chogo jamani nashindwa kununua flat kwasbb ya hela jaman plsssssss mwenye hata chogo hata ya chini ya elfu 50 aniuzie yaan iwe ni pamoja. Na kunisaidia tu maana napenda kuwa na tv ila sina pesa
 
Mkuu samsung smart 32" ni 600000
Tcl smart 32" 450000
Mkuu shukrani sana..Mzigo nishaupata kuna vijana wangu walikuja officine kwako last week ijumaa ukawahuduhumia fresh wamesharudi dar na kunikabidhi nimeutest nimeridhika now...!! Wall mount zake vp...nasikia uliishiwa so zikiingia naomba tuwasiliane nahitaji nayo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…