copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,232
- 2,362
Asante kwa ushauri.hapo mkuu nakushauri nunua TV nyengn, hayo mambo ya kuagiza kioo utasumbuka na kupoteza hela tu, kwanza ni expensive, gharama unaongeza hela kidogo tu unapata TV nyengn mpya kama hiyo
Ni machine fresh unawaka vizuri kab
Nimekusendia namba yangu inboxNi machine fresh unawaka vizuri kabisa
In shaa AllahAsante kwa ushauri.
Akipatikana mnunuzi, tuchekiane!
Nikitaka uniuzie ivyo ilivyo je ni kiasi ganiHisense inch 65.. Ilitumika chini ya siku 30 toka inunuliwe, dogo akaigonga!! Ikiwa off huoni cracks.. Ukiswitch on ndo vurugu tupu.. Picha imekatikakatika..
Niliambiwa kutengeneza yake ni kuagiza kioo nje na bei yake imesimama..
Niliirudisha ndani ya box toka December 2019. Sijaitoa na sijui ipo na hali gani.
Leo nimekutana na huu uzi; msaada wa mawazo tafadhali.
1. Ni kweli kioo hadi kuagiza nje?
2. Nikijipinda kuagiza kioo, itarudi kawaida?
3. Naweza ku offload kwa hasara? Nusu hasara kuliko hasara kamili
Shukrani
Upo pande zp tufanye biashara?TCL 42" naiuza kwa lak 4 sio smart ni LED TV ya kawaida. Tv imetumika miezi 6 tu. Mawasiliano 0677308324 au 0621523916View attachment 1822620View attachment 1822621
Nipo mwenge dsmUpo pande zp tufanye biashara?
Mi npo maeneo ya uhasibu, vp haijawah kufunguliwa toka uinunue?Nipo mwenge dsm
Ile 2019 jamaa waliniambia niwape 1m na ile tv wanipe tv nyingine, sikumbuki specifications.. Nikaona bora nikae nayo naweza pata option nzuri.. Now naona bora nioffload!Nikitaka uniuzie ivyo ilivyo je ni kiasi gani
Nikitaka uniuzie ivyo ilivyo je ni kiasi gani
Tv haijawahi kufanyiwa ufundi wa aina yoyote since inunuliwe, ni yangu mwenyeweMi npo maeneo ya uhasibu, vp haijawah kufunguliwa toka uinunue?
Poa ntakucheck kwny xmu tuyajenge mkuuTv haijawahi kufanyiwa ufundi wa aina yoyote since inunuliwe, ni yangu mwenyewe
Karibu sanaPoa ntakucheck kwny xmu tuyajenge mkuu
Mimi nina TCL 4K UHD Smart LED,hapo mkuu nakushauri nunua TV nyengn, hayo mambo ya kuagiza kioo utasumbuka na kupoteza hela tu, kwanza ni expensive, gharama unaongeza hela kidogo tu unapata TV nyengn mpya kama hiyo
Nna 500k natafuta TV 2 inch 32
Na unaweza kuweka bei za 75"??lg 2.3m
tcl 1.8m
hisense 1.8m
star x 1.7m
mkuu TV kwa sasa zimepanda sana, hasa hizo ndogo, kwa bajeti hiyo kwangu haina maslah@Abdulwahid
Nna 500k natafuta TV 2 inch 32
vioo kaka hamnaMimi nina TCL 4K UHD Smart LED,
Nayo sikukaa nayo sana kama wiki 2 au 3 hivi alienifungia kwa ukuta hakuiweka vizuri ikadondoka Kioo kikapiga mzinga. Nawaza hapa sijui hata niifanyaje.
View attachment 1826809
Ukiiwasha inaonyesha kama hivi hapa chini, nusu ya juu na kulia hakuna kitu,
View attachment 1826810