Nina star x kioo kibovu.Nitumie picha zake pm, Serious buyer
Already sold
Mkuu nahitaji Samsung tv 55 inches Smart Tv (Android au non-android), yenye ubora wa juu kabisa katika teknolojia ya picha. Bei zake zikoje hadi inanifikia mkoani Iringa? Pia nakushauri uanzishe group la WhatsApp kwa ajili ya wateja wako na wateja watarajiwa, itakusaidia sana pia watu kuzidi kufahamu huduma yako. Au kama tayari unalo group basi naomba link nijiunge.hapana mkuu
Nashkuru sana mkuu kwa ushauri wako, naahid ntaufanyia kazi, kuhusu unayotaka tunayo Samsung crystal smart 4k 55" mpaka Iringa mkuu ntakuletea kwa 1500000Mkuu nahitaji Samsung tv 55 inches Smart Tv (Android au non-android), yenye ubora wa juu kabisa katika teknolojia ya picha. Bei zake zikoje hadi inanifikia mkoani Iringa? Pia nakushauri uanzishe group la WhatsApp kwa ajili ya wateja wako na wateja watarajiwa, itakusaidia sana pia watu kuzidi kufahamu huduma yako. Au kama tayari unalo group basi naomba link nijiunge.
Ahsante sana mkuu na big up kwa huduma nzuri, nimefuatilia nimeona wewe ni muaminifu sana na customer care yako ni 110% on point. Keep it up!
Abdulwahid
Shukrani sana mkuu. Nitakucheki WhatsApp, nimechukua namba zako tayari, nitahitaji hii mashine July mwishoni. Tuombeani uzima na afya.Nashkuru sana mkuu kwa ushauri wako, naahid ntaufanyia kazi, kuhusu unayotaka tunayo Samsung crystal smart 4k 55" mpaka Iringa mkuu ntakuletea kwa 1500000View attachment 1832118
in shaa Allah kheriShukrani sana mkuu. Nitakucheki WhatsApp, nimechukua namba zako tayari, nitahitaji hii mashine July mwishoni. Tuombeani uzima na afya.
Abdulwahid
Basi nipe bei ya hisense smart 32" naona 43" ipo juu ya budget yang mkuuhapana mkuu
Naomba bei za Led 43' Ulizonazoin shaa Allah kheri
ushapata mm ninayo TCL smart Tv 32'.Any smart TV for 350000/= ??
Star x led 550000Naomba bei za Led 43' Ulizonazo
Akikujibu nitag. Nataka nchi 65 nimeuliza bei huko juu sijaambiwa.Nataka nijilipue na TCL 65inch lile toleo jipya la Sasa sijui qled Sasa tunajua Tanzania bara hv vitu n ghali mno vp Bei nafuu Ni wap Kati ya Zanzibar na Nairobi?
Wajuzi swali kwenu majibu kwangu
Ngoja waje tunawasuburiAkikujibu nitag. Nataka nchi 65 nimeuliza bei huko juu sijaambiwa.
Hapana mkuuNina star x kioo kibovu.
Mkuu nahitaji TV yeyote brand nzuri 55" second hand LED isiyokuA smart.Nashkuru sana mkuu kwa ushauri wako, naahid ntaufanyia kazi, kuhusu unayotaka tunayo Samsung crystal smart 4k 55" mpaka Iringa mkuu ntakuletea kwa 1500000View attachment 1832118
Tuwasiliane mkuuushapata mm ninayo TCL smart Tv 32'.
ni-pm kama bado unayo hiiNashkuru sana mkuu kwa ushauri wako, naahid ntaufanyia kazi, kuhusu unayotaka tunayo Samsung crystal smart 4k 55" mpaka Iringa mkuu ntakuletea kwa 1500000View attachment 1832118
hatunaMkuu nahitaji TV yeyote brand nzuri 55" second hand LED isiyokuA smart.