Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
kuhusu kukuagizishia nadhani ungenitumia model no pia ikawa rahis zaidUna models gani za 75 au 85 inches
Na unaweza niagizia hiyo series 6?
Utakutana na kadhia za Boda hapo mpakani,
TRA watakunyoosha ushuru utaona Bora ungenunua huku huku dar au Zanzibar.
Unafuu wa Nairobi,
Uko kwenye biashara ya Simu,spea zake na vitu vidogo vidogo vya kubebeka Kwenye begi.
Ila hivi vikubwa vya kuonekana Kama TV, utakadiriwa USHURU utachoka mwenyewe.
Nmefanya Sana biashara za Nairobi-Dar, kwaiyo nakushauri nilicho nauzoefu nacho mkuu.
TCL 75 Inch QLED boss, au Ile toleo la nyuma sijui ndo 4kSamsung now 1450000
lg 1400000
hisense 1050000
tcl 1050000
Zote anazo,Kwangu mie Nairobi n karibu kuliko dar pia pale boda nimeshasoma mchezo natakiwa kuwapa ngap Tra hvyo nikijumlisha naona bado Kuna unafuu lingine pia huwa na inshu inshu za kununua vitu Nairobi.
Najipanga ligi pendwa ianze nitulie vizuri na screen kubwa MUNGU akiweka mkono hata 75inch naivuta.
Jamaa wa zenji naona Kama huwa n used au mpya zile?
hatuna mkuu tcl 75TCL 75 Inch QLED boss, au Ile toleo la nyuma sijui ndo 4k
Ngoja anipe Bei saa zingine n Bora kujua kuliko kudhaniZote anazo,
mpya na used. USHINDWE WEWE TU
Ya 4k 65hatuna mkuu tcl 75
1.7mY
Ya 4k 65
Hamna noma mkuu wacha nikupigie kesho tuone mbivu au mbichi hili swala nilimalize1.7m
Pamoja na usafiri wa kutokea zanzibar?Nnazo 43" smart 700000
ndioPamoja na usafiri wa kutokea zanzibar?
Poa poa mkuundio
Tcl adroid tv 43 kwa specification iz nitapata mkuu na ni sh ngap ?ndio
Mkuu unaweza kufikisha na Mwanza?Ndio mana na hao wa mikoani nikatahadharisha, anaetaka awe mkweli, asitujaribu, sio ushatuma mzigo ishafika sehem husika unamuambia nenda kalipie uchukue mzigo wako, anaanza blah blah
Mara nimetokea na msiba, sijui mambo yameenda vile sijui hivi, alimradi kashakusumbua na hakua na uhitaji wwte
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi 43 hii bei gn chiefMpya, mode of delivery inategemea na ulipoView attachment 1437935
Sent using Jamii Forums mobile app