Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
kwa hiyo TV ya mil 1 ukituma kwa huyo Abdulwahid unakuja kulipia hapa customs shiing ngapi kwa mfano
Nilitaka kujua kodi kutokea Zanzibar, sio Nairobi. Hukuwa na jibu halafu unanambia nikae kwenye maandiko yako nikitaka kusaidiwa, nikae kwenye maandiko yako we mtume ? Get the hell outta here pinhead dusche bagSijanunua kwake mie nilinunulia Nairobi hvyo kaa kwenye maandiko yangu kama unataka usaidizi
Huna akiliNilitaka kujua kodi kutokea Zanzibar, sio Nairobi. Hukuwa na jibu halafu unanambia nikae kwenye maandiko yako nikitaka kusaidiwa, nikae kwenye maandiko yako we mtume ? Get the hell outta here pinhead dusche bag
1.1mbei ya hicence 55' 4k bei yake ipoje?
top top??1.1m
Bro nikishakua tayari kwenye ile issue itabidi nikushtue unielekeze hayo machimboHizi TV kampuni za Star X, TCL, n.k kuna sehemu hapa Dsm wanauza used bei rahisi sana.
Kama hizi za inchi 32, haizidi Tsh. 250,000
Zile za inchi 40-45, hazizidi Tsh. 350,000
Lakini zikishakuja mitandaoni tu, naona zote zinabadilika.
Samsung smart tv 43" niko Mbeya nitaipata kwa shilingi ngapi mkuu.kwa sasa utapata chini ya 40" ingawa nayo itakua chini ya 500000
mkuu hatuna kwa sasaSamsung smart tv 43" niko Mbeya nitaipata kwa shilingi ngapi mkuu.
Unaweza kunipa na bei ya Log smart
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawai ona hiyo Tv 4k alafu isiwe smart labda itakuwa monitorNahitaji Used Tv iwe 4k nchi 40 au 43 isiwe smart,
Sent from my SAMSUNG-SM-N920A using JamiiForums mobile app
Unatumaje hizo TV kwa wateja wa Bara ? inapita customs ? Kuna kodi juu ya hiyo 1.1M1.1m
upo wapUnatumaje hizo TV kwa wateja wa Bara ? inapita customs ? Kuna kodi juu ya hiyo 1.1M
dar ukilipa 1.25m tutakufikishia mpaka dar, gharama zote zitakua juu yetu
anhaa… okaydar ukilipa 1.25m tutakufikishia mpaka dar, gharama zote zitakua juu yetu
hapana ni beforeanhaa… okay
Naweza kulipa mnapo deliver ?
Aah kumbe,Sijawai ona hiyo Tv 4k alafu isiwe smart labda itakuwa monitor