Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoosha maelezo nduguNataka smart Tv nipo Dar
Insta mnatumia jina gani?Nyoosha maelezo ndugu
binrashid_electronicsInsta mnatumia jina gani?
Nataka ni view kwa marefu na mapana.
[emoji120] shukran sanabinrashid_electronics
mimi nimejikita kwenye Tv used ,kama unahitaji au unauza Tv yako nicheki kwa namba :0747175984:Nipo mbeya townView attachment 1960163View attachment 1960164
hizo hapo ,japo zingine mpaka uniambie unataka Tv gani nakurushia whattsapp namba yangu:0747175984Mkuu ongeza picha au ndio mzigo huo huo
Mimi ameniuzia tv 4 tena za zaidi ya tshs 1.5 eachNaomba nilete mrejesho wangu pia, nimefanya biashara na bwana Abdulwahid , jamaa ni muaminifu kupita maelezo. Hana longolongo. Nilimcheki, nikamuuliza bei ya TV niliyoitaka, akaniambia bei. Nikamwambia anipe account namba ya benki nikatia mpunga kwenye account yake then nikamtumia pay slip.
Mzigo ulifika mkoani salama salmini kabisa.
The guy is EFFICIENT, EFFECTIVE & TRUSTWORTHY. Pia, customer care yake ni ya viwango vya SGR.
I highly recommend him.
Asanteni waungwana kwa support zenu na ushuhuda wenu hapa jukwaani, Allah awabariki sanaMimi ameniuzia tv 4 tena za zaidi ya tshs 1.5 each
Mkuu naomba no zako za simu,plsAsanteni waungwana kwa support zenu na ushuhuda wenu hapa jukwaani, Allah awabariki sana
0777650286
ipo Samsung 55"Natafuta flat screenTv 55 inches used(LG,TCL)pia kampuni nyingine waweza niambia kama ipo,bei tutaelewana tu nipo MBEYA,mawasiliano:0747175984
Samsung smart 4k 40" ni second hand kutoka UK na iko condition kama mpyaNahitaji inchi 40/mpaka 43
Iwe samsung, Lg, sony, TCL Niko kahama
ina ngapi mkuuipo Samsung 55"