Yasir alafati
Senior Member
- Jul 23, 2021
- 121
- 97
inch ngapi?Samsung led tv 40. Ipo ninataka 1100000.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inch ngapi?Samsung led tv 40. Ipo ninataka 1100000.
Mkuu uliichua kwa bei ipi tafadhaliInapita custom inakadiriwa Kodi sema sio Kali unapata risit ya Kodi basi njia nzima usumbufu hakuna bila hyo karatasi ya Kodi mzee inaeza kula kwako au uwapate wale magwiji na hapo utasafirishiwa mpaka Arusha tuu Sasa kuitoa hapo mpaka kwako ukikutana na hawa ndugu zetu huna karatasi unaambiwa umeiba Sasa inshu ndo hapo
Naomba nilete mrejesho wangu pia, nimefanya biashara na bwana Abdulwahid , jamaa ni muaminifu kupita maelezo. Hana longolongo. Nilimcheki, nikamuuliza bei ya TV niliyoitaka, akaniambia bei. Nikamwambia anipe account namba ya benki nikatia mpunga kwenye account yake then nikamtumia pay slip.Mwaminifu sana
shukran sana kiongozNaomba nilete mrejesho wangu pia, nimefanya biashara na bwana Abdulwahid , jamaa ni muaminifu kupita maelezo. Hana longolongo. Nilimcheki, nikamuuliza bei ya TV niliyoitaka, akaniambia bei. Nikamwambia anipe account namba ya benki nikatia mpunga kwenye account yake then nikamtumia pay slip.
Mzigo ulifika mkoani salama salmini kabisa.
The guy is EFFICIENT, EFFECTIVE & TRUSTWORTHY. Pia, customer care yake ni ya viwango vya SGR.
I highly recommend him.
Ulichelewa kumjua pole umekosa mengi ila kuanzia apo epuka kale ka msemo ,SOME PROBLEM ARE SELF IMPOSED.NIKIMAANISHA USIJE THUBUTU KUTAFUTA MTU MWINGINE USIYEJUA UAMINIFU WAKE UKOJE UKAJUTA .RASHID NI MTU NA NUSU.Naomba nilete mrejesho wangu pia, nimefanya biashara na bwana Abdulwahid , jamaa ni muaminifu kupita maelezo. Hana longolongo. Nilimcheki, nikamuuliza bei ya TV niliyoitaka, akaniambia bei. Nikamwambia anipe account namba ya benki nikatia mpunga kwenye account yake then nikamtumia pay slip.
Mzigo ulifika mkoani salama salmini kabisa.
The guy is EFFICIENT, EFFECTIVE & TRUSTWORTHY. Pia, customer care yake ni ya viwango vya SGR.
I highly recommend him.
Mkuu weka hapa account unayotumia instashukran sana kiongoz
binrashid_electronicsMkuu weka hapa account unayotumia insta
Shukran kiongozibinrashid_electronics
binrashid_electronics
nauza zoteMkuu unauza tv used au mpya ,,! maana nahitaji tv nch42 LG tubadilishane na tv yangu alfu nikuongezee na hela
Mkuu Abdulwahid ni mtu poa,jana nimenunua tv kwake,nimemtumia pesa saa 3 asubuhi saa 5 napokea tv bandarini darnauza zote
shukran sanaMkuu Abdulwahid ni mtu poa,jana nimenunua tv kwake,nimemtumia pesa saa 3 asubuhi saa 5 napokea tv bandarini dar
Flat inch 17 - 21 bei gani?
Hàbar nin tv flat Samsung nchi 32 haioneshi kioo
Mkuu uliichua kwa bei ipi tafadhali