Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
sina kwa sasaLG ama Samsung inch 32
Unauzaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina kwa sasaLG ama Samsung inch 32
Unauzaje?
Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.
NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO VIMEKUA ADIM SANA.. NA CHANGAMOTO NI BEI..
Pia nanunua tv mbovu zilizoshindikana kama spea
Call/WhatsApp 0744680670View attachment 1986048View attachment 1986049View attachment 1986050View attachment 1986051View attachment 1986052View attachment 1986053
NIPO DAR, NAHITAJI FLAT SCREEN INCH 40 ,ISIWE NA TATIZO LOLOTE BAJETI YANGU NI 350,000/- UKIWA SERIOUS NICHEK DMMkuu Abdulwahid tafadhali husika na hizo post zangu mbili kuhusu hizo radio
mkuu hizo hometheater zote kwa sasa hatunaMkuu naomba nipatie Model number ya hivi vinu nijipime ubavu nitakayoiweza kuimudu kuichukua kulingana na mfuko wangu, pia unipe na garama ya usafirishaji hadi Mbeya View attachment 1291149View attachment 1291150
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kupata TV inchi 32 nikiwa na budget ya 400,000/=? Nilikuwa na Star X. Imepasuka kioo sitaki kuhangaika kutengeneza.
njoo nikuuzie Hisense smart TV 32 inch haina miezi miwili ..kadi yake ipo nicheki 0715 194 611Kwa Tsh 400,000 . Ntapata LG au Hisense smart TV 4K inchi 32?
uko wapi kaka ... njoo nikuuzie smart Hisense inch 32 nicheki 0715 194 611Naweza kupata TV inchi 32 nikiwa na budget ya 400,000/=? Nilikuwa na Star X. Imepasuka kioo sitaki kuhangaika kutengeneza.
Piga hatua 7 uchuke chomboLitumba Kuhamba kama 100k ikikupendeza naiomba nipo tayari
Mkuu bei ya vioo Bora uongeze hela kidogo uchukue mpyaKioo cha flat screen inch 32 bei gan, tv ya Samsung?View attachment 2070617
Ulivyokuwa na ubongo wa mende ukazidisha 32x2 ukapata 64, so we we unataka TV ya 65inch aisee!!Nahitaji inch 65 Brand yoyote ile
natoa inch 32 mbili
1.Hisence
2.TCL SMART
anaekubali tubadilishane kwa hivi anicheki PM 2 KWA 1
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulivyokuwa na ubongo wa mende ukazidisha 32x2 ukapata 64, so we we unataka TV ya 65inch aisee!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daaah hii kaliUlivyokuwa na ubongo wa mende ukazidisha 32x2 ukapata 64, so we we unataka TV ya 65inch aisee!!