Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Tv iliyochora mstari kuna namba ya kuufuta?
Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.
NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO VIMEKUA ADIM SANA.. NA CHANGAMOTO NI BEI..
Pia nanunua tv mbovu zilizoshindikana kama spea
Call/WhatsApp 0744680670View attachment 1986048View attachment 1986049View attachment 1986050View attachment 1986051View attachment 1986052View attachment 1986053
 
Aborde inch 22 double glass used for I month na flash ya gb 8 kwa 170

+255712586252
 
Hisence inchi 55 zimerudi tena baada ya kupotea kwa muda mrefu tupigie 0744551655 kuweka oda yako sasa kwa bei ya 1,350,000tsh

[emoji573] usafiri bure
[emoji573]hdmi bure
[emoji573]wall bracket bure.

Hii si ya kukosa aiseeh [emoji2][emoji2]


IMG_0849.jpg
 
Naweza kupata TV inchi 32 nikiwa na budget ya 400,000/=? Nilikuwa na Star X. Imepasuka kioo sitaki kuhangaika kutengeneza.
uko wapi kaka ... njoo nikuuzie smart Hisense inch 32 nicheki 0715 194 611
 
Nahitaji inch 65 Brand yoyote ile

natoa inch 32 mbili

1.Hisence
2.TCL SMART

anaekubali tubadilishane kwa hivi anicheki PM 2 KWA 1
 
Back
Top Bottom