MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Nilichukua kwa 1.8M ni smart, duka lipo pembeni ya lampard electronicsUmechukua bei gani mkuu? Mi nataka nchi 43 isiyo Smart au naomba contacts zao....nipo kkoo niwapitie hapo chap kabla hawajafunga
Hivi apple tv inch 32 naweza pata bei ganihiyo ndo nafuu ndugu, hapo ni kila kitu
Mkuu sina hizoHivi apple tv inch 32 naweza pata bei gani
Unaweza nisaidia namna ya kutumia hiyo built in decorder maaana miKama unataka zilizokua built in decorder uchukue Samsung uhd 43" au Star x smart Android 43"
hapana mkuu, sina uelewa wa hayo, labda wajuvi wamo humu wanaweza kukusaidiaUnaweza nisaidia namna ya kutumia hiyo built in decorder maaana mi View attachment 2131513ninanyo hii.View attachment 2131515
Haina ugumu, kama una ANTENNA ya kawaida wewe unga kwenye tundu la antenna , na kama upo Dar, frequency za kupata FREE CHANNELS NII 474, 490, 546.Unaweza nisaidia namna ya kutumia hiyo built in decorder maaana mi View attachment 2131513ninanyo hii.View attachment 2131515
Naomba kuelekezwa namna ya kupata au kuitambua tv yenye feature ya cam card,je hii ni moja ya feature currently au ni outdatedKama tv YAKO ina njia ya kuingiza CAMCARD, unaweza kununua camcard ya Azam ukaichomeka ,huku ukiwa una ANTENNA unasearch chanels za AZAM za kulipia unatumia tu bila kutumia kisimbuzi cha Azam.
TV zenye uwezo huo , utakuta kuna slot imeandikwa CI. Models nyingi za nyuma za LG zilikuwa na hii slot...Naomba kuelekezwa namna ya kupata au kuitambua tv yenye feature ya cam card,je hii ni moja ya feature currently au ni outdated
binrashid_electronicsHuyu Abdulwahid anatumia instagram?? tumchek
Umetumia kwa muda ganiNauza TCL Android TV inch 32 ... Conditions nzuri bado mpya Tsh 400,000/= Ipo Dar es salaam no. 0738 862 877View attachment 2140563
Uko sehem ganiNauza tv Hisense inch 58 smart, Ina miezi minne ni mpya kabisa..
Doc zote zipo, risiti na warranty zipo mpaka box
Loc: morogoro
Price: laki 9
Kiongozi kama itakupendeza ipo LAKI TATU CASH.ni PMNauza TCL Android TV inch 32 ... Conditions nzuri bado mpya Tsh 400,000/= Ipo Dar es salaam no. 0738 862 877View attachment 2140563