Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Used LG 42 inches,LCD flat screen. Kama uko serious in pm
Bei gani mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Used LG 42 inches,LCD flat screen. Kama uko serious in pm
Natafuta Motherboard ya TV LED LG 42" mwenye nayo please yangu imebuma.
mkuu samsung hawatoi 42" wanatoa 40", mpya kabisa ni laki 8, series 5. Karibu tupo zanzibar, mtendeni street, 0718919725
mkuu picha haionekani vyema,haina historia ya ubovu?uko dar eneo gani?Nina TV yangu Philips nahitaji laki 350000 tu nipo Dar es salaam kama una mtu Dar mwambie aje aione ajirizishe TV iko poa kabisa rangi ni Silva inch 32. Karibu sana
nahitaji samsung LED inchi 32 kwa bajeti ya 500K
Kwa 580k nakupa Samsung 32inch mpya
Inch 42 Samsung smart TV utanipa kwa ngapi?
42inch sina ila kuna LG 43inch mpya ya mwaka 2015 Bei yake ya mwisho 1,050,000
nahitaji samsung LED inchi 32 kwa bajeti ya 500K
mkuu bajeti yako hiyo utapata nchi 22 kwa laki 2.5
Mwenye samsung inch 32 mpya katika box,, ani pm namba zake fasta bajet yangu n laki 5,
Mkuu zipo nyingi tena kwa 490k tu karibu sana
Mpaka dar itakuwa kias gani?
Mkuu itakua 520k