lg 32 unauzaje ambayo ina king`amuzi kabisaaa650000
kimya mbonaKwa sababu ni posta ni siku 2 inakua umeshapata mzigo wako
kwa laki nne je?lg 32 unauzaje ambayo ina king`amuzi kabisaaa
je zingine ambazo zinaving`amuzi ni sh ngapi nchi 32kwa laki nne je?
nije mida nichukue
bazo sio lg lakini zina ving`amuzi inakuaje kwa 32Kwa sababu ni posta ni siku 2 inakua umeshapata mzigo wako
500000lg 32 unauzaje ambayo ina king`amuzi kabisaaa
Kimya kipi bosikimya mbona
Hapana mkuu hiyo ngumukwa laki nne je?
nije mida nichukue
Star x 32LN640V Andaa 400000 nikutumieam
bazo sio lg lakini zina ving`amuzi inakuaje kwa 32
Aboder(nahisi nimecheka spelling )unazo TV za kampuni hiyo mkuu?
upo serious kbsa elfu 50 lbda rimot na c tvNatafuta tv kwa sh 50000
Mkuu nichek wassap 0777650286, pia nimekucheck pm unaweza pitiamimi nahitaji TV 5 inch 24 au 25 kwa bei nzuri kama ya jumla, mdau ani pm kama anazo na jina la brand pia
Sony hometheatre mkuu kua mvumilivu kidogo kuna kontena ipo bandarini tunatarajia wiki kesho tutakata sony hometheatre zitakuepo in shaa AllahAbdul embu nichekie bei za Sony home theatre mpya au used huko zenji halafu nijulishe watts 1000 spika ndefu
kama upo dar njoo na 85 nikupe chogo inch 14 na deki ya singsung kabisa. 0625618177Natafuta tv kwa sh 50000