Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Wakuu nawashukuru sana kwa kuleta ushuhuda, ukweli wapo wengi nimefanya nao biashara humu sema wengi hawapendi kuleta mrejesho baada ya kupokea mizigo yao, hata hivo nawashukuru nyote kwa kutuamini kufanikisha bishara hii
 
Wakuu nawashukuru sana kwa kuleta ushuhuda, ukweli wapo wengi nimefanya nao biashara humu sema wengi hawapendi kuleta mrejesho baada ya kupokea mizigo yao, hata hivo nawashukuru nyote kwa kutuamini kufanikisha bishara hii
Mkuu hongera kwa uaminifu wako naimani utafika mbali in shaa allah!
 
naomba bei ya hizi tv tufanye biashara
Tcl 32 na 40 smart
lg smart au yenye kingamuzi 32
samsung smart 32
star x 32/40
Lg smart 43" bei 1.2m
Lg smart 49" 1.5m
Star x led 32" 320000
Lg led 32" 450000 (haina king'amuzi)
Tcl smart 40" 650000
Hizo nyengine kwa sasa hatuna mkuu
Kwa mawasiliano zaid nicheki 0777650286 & 0718919725
 
b83d1a86a770cd71cb2f710c77e963be.jpg
47bca09c53670a69f77cfdbe4d7ab24e.jpg
e766d81b6b26691075af107e37050dc9.jpg
87750e5bdd9b2680fdcfadce09a41c2a.jpg
2de1ae536983576c9dd9032cb6b84ab4.jpg
0e480bb3de7ef2463db2576008b7048b.jpg
 
Mkuu Abdulwahid mimi nina ombi tofauti kidogo. Ninaweza kupata Game Pads (Controllers) za PS2 & PS3? Samahani kama nimeenda nje ya lengo la thread but nimekuona ni mtu mwema na unayefaa kuuliza. Msaada wa namna yoyote ile utakuwa appreciated. Mungu akubariki sana.
1ad0f392ae0f0ce282bf99a2de17c506.jpg
a0ab0cff373b767264e00fcbbdf9bb91.jpg
 
Samsung smart 48"
Brand new 2015
Model UA48J5200AK
Smart hub
1usb port
2hdmi port
Full hd 1080p
Oudio out port
Price: 1500000
Tupo mtendeni zanzibar
Walio nje ya zanzibar tunasafirisha na utalipa baada ya kupokea mzigoView attachment 441990View attachment 441991
Contact: 0777650286 & 0718919725
Mkuu hiyo ndo kubwa ya mwisho?? Nijibu mkuu na pia mimi nipo iringa naweza kuipataje hiyo
 
Mkuu Abdulwahid mimi nina ombi tofauti kidogo. Ninaweza kupata Game Pads (Controllers) za PS2 & PS3? Samahani kama nimeenda nje ya lengo la thread but nimekuona ni mtu mwema na unayefaa kuuliza. Msaada wa namna yoyote ile utakuwa appreciated. Mungu akubariki sana.
1ad0f392ae0f0ce282bf99a2de17c506.jpg
a0ab0cff373b767264e00fcbbdf9bb91.jpg
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
 
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
Ninashukuru sana kaka. Mungu akubariki uendelee kuwa na moyo huohuo.
 
Back
Top Bottom