SIM
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 1,795
- 1,304
Hongera mkuuHata mie nimechukua tv toka kwake daah huyu jamaa anajua kufanya biashara kabsaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuuHata mie nimechukua tv toka kwake daah huyu jamaa anajua kufanya biashara kabsaaa
Mkuu hongera kwa uaminifu wako naimani utafika mbali in shaa allah!Wakuu nawashukuru sana kwa kuleta ushuhuda, ukweli wapo wengi nimefanya nao biashara humu sema wengi hawapendi kuleta mrejesho baada ya kupokea mizigo yao, hata hivo nawashukuru nyote kwa kutuamini kufanikisha bishara hii
Asante sana Allah akubariki sanaMkuu hongera kwa uaminifu wako naimani utafika mbali in shaa allah!
naomba bei ya hizi tv tufanye biasharaAsante sana Allah akubariki sana
Lg smart 43" bei 1.2mnaomba bei ya hizi tv tufanye biashara
Tcl 32 na 40 smart
lg smart au yenye kingamuzi 32
samsung smart 32
star x 32/40
Mkuu hongera kwa uaminifu wako naimani utafika mbali in shaa allah!
Mkuu hiyo ndo kubwa ya mwisho?? Nijibu mkuu na pia mimi nipo iringa naweza kuipataje hiyoSamsung smart 48"
Brand new 2015
Model UA48J5200AK
Smart hub
1usb port
2hdmi port
Full hd 1080p
Oudio out port
Price: 1500000
Tupo mtendeni zanzibar
Walio nje ya zanzibar tunasafirisha na utalipa baada ya kupokea mzigoView attachment 441990View attachment 441991
Contact: 0777650286 & 0718919725
Lazma akimbiwe yule coz hajui biasharaHahahaaaaa...ushamkimbia kelvin Isaya...
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa AllahMkuu Abdulwahid mimi nina ombi tofauti kidogo. Ninaweza kupata Game Pads (Controllers) za PS2 & PS3? Samahani kama nimeenda nje ya lengo la thread but nimekuona ni mtu mwema na unayefaa kuuliza. Msaada wa namna yoyote ile utakuwa appreciated. Mungu akubariki sana.![]()
![]()
Kwa sasa kubwa tulizonazo ni samsung curved 55", kuipata inawezekana ndioMkuu hiyo ndo kubwa ya mwisho?? Nijibu mkuu na pia mimi nipo iringa naweza kuipataje hiyo
Zamtumba mkuu hatuuziPia radio za mtumba yenye mziki wa ukweli kwa matumizi ya home
Ninashukuru sana kaka. Mungu akubariki uendelee kuwa na moyo huohuo.Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
AsanteNinashukuru sana kaka. Mungu akubariki uendelee kuwa na moyo huohuo.
Sawa mkuu na music system nzuri na yenye mziki mzito wa ndani ni bei gani na ni kabila gani hiyo kama naweza pata picha hata whatsapp namba 0752206720 au hapahapa pia si vibayaZamtumba mkuu hatuuzi