Alfatia
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 251
- 120
Star X na TCL ni ipiii nzurii mkuu?Star x 32LN640V Andaa 400000 nikutumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Star X na TCL ni ipiii nzurii mkuu?Star x 32LN640V Andaa 400000 nikutumie
Tcl/ na Star X ipi kalii mkuu ? UboraUnaweza mkuu we sema tu unataka aina gani nikusafirishie, tunazo samsung, lg, star x na tcl smart
Star X bei gani mkuu pamoja na usafiriii kunifkia MwanzaShukran kiongozi, nakutakia kila la kheri, pia asante na wewe kwa kuniamini
Abdulwahid nimemkubal sana huyu jamaa hongera sana bro endeleza uaminifu na ukwel kwa sisi wateja wako.wana jfroum fanyen biashara na huyu abdu mzigo unaupata no longo longo ,,haraka na mapema unapata mzigo ukiagizaAbdul leta vunja bei msimu wa sikukuu
Zote ni nzuri mkuu inategemea unataka yenye specification gani? Kumbuka TCL tulizonazo zote ni smart, star x ni led za kawaida tuStar X na TCL ni ipiii nzurii mkuu?
Size gani unataka kiongizi?Star X bei gani mkuu pamoja na usafiriii kunifkia Mwanza
Shukran mkuu kwa kutuamini na wewe, bila ya kuniamini nisingeweza, asanteni sanaAbdulwahid nimemkubal sana huyu jamaa hongera sana bro endeleza uaminifu na ukwel kwa sisi wateja wako.wana jfroum fanyen biashara na huyu abdu mzigo unaupata no longo longo ,,haraka na mapema unapata mzigo ukiagiza
Ofa tulionayo ni samsung led 50" kwa 1200000 badala ya 1400000Abdul leta vunja bei msimu wa sikukuu
Jamaa yupo vizuri sana hasa kwenye issue ya mawasiliano na mteja. Wiki iliyopita nilichukua TV toka kwake.Abdulwahid nimemkubal sana huyu jamaa hongera sana bro endeleza uaminifu na ukwel kwa sisi wateja wako.wana jfroum fanyen biashara na huyu abdu mzigo unaupata no longo longo ,,haraka na mapema unapata mzigo ukiagiza
Asanteni, na nawashukuru sana na nyinyi kwa kutuamini, maana biashara hizi za mitandao zinakua pasua kichwa, hujui nani mkweli nani tapeli ila nashukuru kwa kwa nyinyi kuniamini na tukafanikisha biashara, Mungu awabariki sanaJamaa yupo vizuri sana hasa kwenye issue ya mawasiliano na mteja. Wiki iliyopita nilichukua TV toka kwake.
@Abdulwahidi yupo vizuri kwenye biashara zake....ni mwaminifu na anajali wateja wake....Nimeshafanya naye biashara.
Mkuu hometheatre tulizobazo kwa sasa hi lg model LHD655 zenye 1000W ndo tunazo tunauza 500000Vipi home theater?
Tipia vipicha basiMkuu hometheatre tulizobazo kwa sasa hi lg model LHD655 zenye 1000W ndo tunazo tunauza 500000
Hizi hatuna mkuumkuu vipi samsung inch 32 3D vp bei...??
Tipia vipicha basi
Hata mie nimechukua tv toka kwake daah huyu jamaa anajua kufanya biashara kabsaaaJamaa yupo vizuri sana hasa kwenye issue ya mawasiliano na mteja. Wiki iliyopita nilichukua TV toka kwake.