Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
Wewe tu mkuu ukiwa tayari niambie niipakie, mtu yupo utamkabidhi hukohukoUna mtu wako Dar akinikabidhi mzigo nampa pesa au inakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tu mkuu ukiwa tayari niambie niipakie, mtu yupo utamkabidhi hukohukoUna mtu wako Dar akinikabidhi mzigo nampa pesa au inakuwaje?
friji hujanipatia badoWewe tu mkuu ukiwa tayari niambie niipakie, mtu yupo utamkabidhi hukohuko
0777433446mkuu namba za mtu wa
friji hujanipatia bado
0777433446
Smart inakupa acsess ya internet ambayo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali ikiwemo youtube na mengineo, led ni tv tuMkuu utofauti ni upi kati ya Smart TV na LED TV mkuu?
Mkuu asante nimefanikiwa kupata TV niliyoagiza ikiwa salamaSmart inakupa acsess ya internet ambayo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali ikiwemo youtube na mengineo, led ni tv tu
Karibu sana mkuuNafuatilia nami ntaagizia
Jamaa yupo vizuri unalipia mzigo baada ya kuupata.Nafuatilia nami ntaagizia
NtaagiziaJamaa yupo vizuri unalipia mzigo baada ya kuupata.
Karibu sana mkuu
Mkuu hizo zote hatuna, tulizonazo ni kuanzia 32" na kubwa zake zaidMkuu hivi Samsung kuna inches 21,22,24,25 na 28 au hebu naomba ufafanuz wa usahihi wa hizi inches na kati ya hizo utazonifafanulia Nipe bei zake
Je kuna sony bravia 32''Mkuu hizo zote hatuna, tulizonazo ni kuanzia 32" na kubwa zake zaid