Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Abdulwahid nimemkubal sana huyu jamaa hongera sana bro endeleza uaminifu na ukwel kwa sisi wateja wako.wana jfroum fanyen biashara na huyu abdu mzigo unaupata no longo longo ,,haraka na mapema unapata mzigo ukiagiza
Shukran mkuu kwa kutuamini na wewe, bila ya kuniamini nisingeweza, asanteni sana
 
Abdulwahid nimemkubal sana huyu jamaa hongera sana bro endeleza uaminifu na ukwel kwa sisi wateja wako.wana jfroum fanyen biashara na huyu abdu mzigo unaupata no longo longo ,,haraka na mapema unapata mzigo ukiagiza
Jamaa yupo vizuri sana hasa kwenye issue ya mawasiliano na mteja. Wiki iliyopita nilichukua TV toka kwake.
 
@Abdulwahidi yupo vizuri kwenye biashara zake....ni mwaminifu na anajali wateja wake....Nimeshafanya naye biashara.
 
Jamaa yupo vizuri sana hasa kwenye issue ya mawasiliano na mteja. Wiki iliyopita nilichukua TV toka kwake.
Asanteni, na nawashukuru sana na nyinyi kwa kutuamini, maana biashara hizi za mitandao zinakua pasua kichwa, hujui nani mkweli nani tapeli ila nashukuru kwa kwa nyinyi kuniamini na tukafanikisha biashara, Mungu awabariki sana
@Abdulwahidi yupo vizuri kwenye biashara zake....ni mwaminifu na anajali wateja wake....Nimeshafanya naye biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…