Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

51a185844215c15b4eebdbac966d6d18.jpg

Samsung led 40"
Brand new 2016
Price: 780000
 
Hivi naomba kujua utofaut wa smart tv na led katka flat screen
Mkuu tofauti ni kwamba smart źiko more advanced zinakupa acsess ya internet ambapo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali, led ni tv tu hiwezi kufanya hayo
 
nauza star x led 32 inch bado mpya .. imetumika mwez mmoja tu.. kila kitu chake kipo hadi box..

bei 400,000

sababu ya kuuza naongeza nguvu kumalizia kibanda changu
Sasa imetumika mwenz mmoja utasemaje bado mpya?
Hiyo tayari ni used
 
Ivi TV za chogo bado zipo wadau..ninayo hapa mwaka wa 12 inadunda.nilinunua izo za smart pale game zimeungua na kuharibika mpk nimerudi kwa chogo yangu.
 
Mkuu tofauti ni kwamba smart źiko more advanced zinakupa acsess ya internet ambapo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali, led ni tv tu hiwezi kufanya hayo
Ahsante mkuu na ung'aavu ipi ina pcha nzuri sana
 
Curved shi ngapi ?
Mnafunga duka saa ngapi, naweza kupita jioni
 
Back
Top Bottom