Kilemachocho
JF-Expert Member
- Feb 19, 2016
- 560
- 365
Mkuu kwa mara nyingine tena star x 32" bei gani kuichukulia hapa Dar?Star x led 32" kwa 320000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa mara nyingine tena star x 32" bei gani kuichukulia hapa Dar?Star x led 32" kwa 320000
380000Mkuu kwa mara nyingine tena star x 32" bei gani kuichukulia hapa Dar?
Kuichukulia mwanza je bei moja?380000
Star x ya inch 40 je sh ngapi?380000
Kioo tupu star x inch 32 naweza pata,na kwa sh ngapiMiezi 3 iliopita ilikua tv 32" hailipiwi tra pale bandarini, tulikua tunalipia kwenye boti 15000, offage nao 5000, na baharia tunaemkabizi 5000, sasa tv 32" TRA peke yao wanaicharge 50000 jumlisha na izo gharama nyengine apo juu jumlisha na hiyo 320000 ya tv, isitoshe hizi tv uko kwao kwa sasa zimepanda bei, bado njoo uangalie na rate ya dola kwa sasa linganisha na iyo miezi 3 uliosema dola ilikuaje, mpaka hapo nadhani utakua umepata majibu, asante na karibu sana
400000Kuichukulia mwanza je bei moja?
550000Star x ya inch 40 je sh ngapi?
Vioo hatuna mkuuKioo tupu star x inch 32 naweza pata,na kwa sh ngapi
Shukrani mkuu380000
mkuu mi nataka star x 50/55 inches au tcl 50/55 inches ..naomba bei zake mpk dsm550000
Star x smart 50" tunauza 850000mkuu mi nataka star x 50/55 inches au tcl 50/55 inches ..naomba bei zake mpk dsm
naweza ipata star x 50 inches jumamosi nakaa temeke......kama una muwakilishi dar niende kuchukua mzigo kwake...nimpe na cashStar x smart 50" tunauza 850000
Star x led 55" tunauza 1000000
Tcl smart 50" tunauza 1000000
Unaweza mkuu nichek 0777650286 & 0718919725naweza ipata star x 50 inches jumamosi nakaa temeke......kama una muwakilishi dar niende kuchukua mzigo kwake...nimpe na cash
Tutafanyia kazi ushauri wako mkuuMjomba wahid hamuwez kufanya na biashara za tv za sony? Hasa zle zenye 4k resolution?
480000naitaji tcl smart tv, nko dar napata kwa bei gani.?
naitaji tcl or haier 32" smart tv, nko dar napata kw bei gani pamoja na wall mount ake...?