Biashara Mtaji
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 324
- 288
me nahitaji Flat screen inchi 25 Sing Sangkaka ongeza 60 hapo nikupe star x 32 mpya kabisa...
0718 537 216
toa hiyo hela nikupe tv nzuri
Mkuu andaa 290000 nikuletee kesho inshaallahme nahitaji Flat screen inchi 25 Sing Sang
Mkuu tofauti ni kwamba smart źiko more advanced zinakupa acsess ya internet ambapo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali, led ni tv tu hiwezi kufanya hayoHivi naomba kujua utofaut wa smart tv na led katka flat screen
Ushaiuza hii au bado ipo
Sasa imetumika mwenz mmoja utasemaje bado mpya?nauza star x led 32 inch bado mpya .. imetumika mwez mmoja tu.. kila kitu chake kipo hadi box..
bei 400,000
sababu ya kuuza naongeza nguvu kumalizia kibanda changu
Sasa imetumika mwenz mmoja utasemaje bado mpya?
Hiyo tayari ni used
Ahsante mkuu na ung'aavu ipi ina pcha nzuri sanaMkuu tofauti ni kwamba smart źiko more advanced zinakupa acsess ya internet ambapo itakuwezesha kuperuzi mitandao mbalimbali, led ni tv tu hiwezi kufanya hayo
Ni pm no mkuu nataka inch 21 tvAlieko arusha na anashida ya tv yoyote anijuze nitampatia kwa bei nzuri sana.
Mkuu abdulwahid, ntapata Samsung 60+ inches na kwa bei gan?Shukran tutaufanyia kazi ushauri wako mkuu
mkuu samsung hawatoi 42" wanatoa 40", mpya kabisa ni laki 8, series 5. karibu tupo zanzibar, mtendeni street, 0718919725
Mkuu tofauti ni hiyo tu niliokupa vyengine vyote ni sawaAhsante mkuu na ung'aavu ipi ina pcha nzuri sana
Hatuna mkuuMkuu abdulwahid, ntapata Samsung 60+ inches na kwa bei gan?
CurvedZipo.
Mna 55 inch 6 series ?
Curved