Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
Usituchafue bana, huyo sio mzanzibar kabisa, nna hakika hayupo hata huku zanzibar, inawezekana yupo huko huko dar.
Huyu mzanzibar ni kweli tapeli huyu kuna siku namuuliza kuhusu bidhaa anajibu majibu ya ukali ndio nikajua huyu Tapeli ukiuliza sana kuhusu hali ya bidhaa au kama uko dar malipo yanakuaje ana kuwa mkali sana na hajiamini.
Usituchafue bana, huyo sio mzanzibar kabisa, nna hakika hayupo hata huku zanzibar, inawezekana yupo huko huko dar
250kSamsung LCD inch 32... aina kitako unaweka ukutani ni used bei ni fixed laki 3...
300k250k
Gud boss300k
Sony au LG mkuu inategemea unataka ya aina gani? Yanii led , lcd au smart...more detls nicheck whatsapp 0629565168Sony au LG nchi 40 bei gani?
Namba haipatikani mkuu
*LETS DO BUSINESS HERE*
TV / MONITOR *HP*
NCH 42'
LCD
HDMI SUPPORT
VGA
Na vituvingine vingi tu
Ni imara na warranty 1 year
*Tsh 600,000/=*
Wasiliana na +255655731345 (call/watsup)
ZIPO NYINGI HATA UKITAKA 100+ UNAPATA
Sony40" 850000, lg 43" 780000Sony au LG nchi 40 bei gani?
Ipo star x smart 43" kwa 700000, tcl smart 43":kwa 850000, samsung smart 40" kwa 1000000Wakuu nahitaji tv inch 40 au 43 smart brand yeyote na bei zake.
Whattssap 0753255844
Mkuu mbona starx bei chini hivyo?Ipo star x smart 43" kwa 700000, tcl smart 43":kwa 850000, samsung smart 40" kwa 1000000