Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

.
Huyu mzanzibar ni kweli tapeli huyu kuna siku namuuliza kuhusu bidhaa anajibu majibu ya ukali ndio nikajua huyu Tapeli ukiuliza sana kuhusu hali ya bidhaa au kama uko dar malipo yanakuaje ana kuwa mkali sana na hajiamini.
Usituchafue bana, huyo sio mzanzibar kabisa, nna hakika hayupo hata huku zanzibar, inawezekana yupo huko huko dar
 
Samsung LCD inch 32... aina kitako unaweka ukutani ni used bei ni fixed laki 3...
dcf78f715c7809a46890fa4f9eaa3e7e.jpg
b457e3168d13ef7ac275045a9d911892.jpg
e1328ede129c19ec4d95024f7bec7c4a.jpg
 
Sina utaalamu na tv hivyo naomba msaada wenu kwani nahitaji kununua sasa hivi,naomba nijuzwe tofauti zilizopo unapoambiwa ni smart tv,led tv,
Thanks
 
eb005bbacfedbb12ddcb6ba119f42090.jpg
56537a0a39118d3154c2390fc6c6d5d8.jpg




*LETS DO BUSINESS HERE*

TV / MONITOR *HP*
NCH 42'
LCD
HDMI SUPPORT
VGA
Na vituvingine vingi tu
Ni imara na warranty 1 year
*Tsh 600,000/=*

Wasiliana na +255655731345 (call/watsup)

ZIPO NYINGI HATA UKITAKA 100+ UNAPATA
 
700927b52e7b40b5a64e9c26a729dd3c.jpg
6dd7563bc36c6eeebc0782e62ac8eb02.jpg
5d12a04f863e8188a8c12753c3d275ed.jpg


*LETS DO BUSINESS HERE*

TV / MONITOR *HP*
NCH *23/22'*
LCD
HDMI SUPPORT
VGA
Na vituvingine vingi tu
Ni imara na warranty 1 year
*Tsh 350,000/=*

Wasiliana na +255655731345 (call/watsup)

ZIPO NYINGI SANA HATA UKITAKA 100+ UNAPATA
 
Wakuu nahitaji tv inch 40 au 43 smart brand yeyote na bei zake.
Whattssap 0753255844
 
eb005bbacfedbb12ddcb6ba119f42090.jpg
56537a0a39118d3154c2390fc6c6d5d8.jpg




*LETS DO BUSINESS HERE*

TV / MONITOR *HP*
NCH 42'
LCD
HDMI SUPPORT
VGA
Na vituvingine vingi tu
Ni imara na warranty 1 year
*Tsh 600,000/=*

Wasiliana na +255655731345 (call/watsup)

ZIPO NYINGI HATA UKITAKA 100+ UNAPATA
Namba haipatikani mkuu
 
Ipo star x smart 43" kwa 700000, tcl smart 43":kwa 850000, samsung smart 40" kwa 1000000
Mkuu mbona starx bei chini hivyo?
Hebu nipe tofauti na hizo zingine.
Na pia nipe bei ya za kawaida zake ambazo sio smart
 
Back
Top Bottom