Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnayo ila haiwakiNahitaji TV kubwa ya chogo kuanzia nchi 40 Nina laki
HahahanaNnayo ila haiwaki
DuhNahitaji TV kubwa ya chogo kuanzia nchi 40 Nina laki
Ok pamoja sana mkuuokey thanx ngoja nifanye mchakato wa kupata mtu dar zen ntajipanga kuchukua.
Hiyo ya 32"unauzaje mkuu
Mkuu samsung 32"ni bei ganiSamsung led 40", series 5 bei ni 750000
Lg led 42" LF55 bei ni 820000
Mkuu nimeweka bei tv zote post za juu huko, samsung 32" ni 480000Mkuu samsung 32"ni bei gani
Mi niko arusha, pamoja na usafiri bei ganiMkuu nimeweka bei tv zote post za juu huko, samsung 32" ni 480000
Nitakutafuta mkuuNinayo singsung kaka bei 180000
Wakuu nina import TV mpya kutoka Dubai na ningependa maoni yenu kwenye bei:
Daytek 32 inches Led laki 450
Yihai inch 32 LED laki 430
Samsung Plasma 51 inches 1.3m
Samsung 51 inches LED 1.8m
Samsung 60 inches plasma 2.7m
Je hizi bei mnazionaje
550000Mi niko arusha, pamoja na usafiri bei gani
nami nina lg inch 42 imevunjika kioo so nikuuzie motherboard ama we uniuzie kiooNianyo sony bravia nchi 42 imekufa mkanda( T-con)kama nimeabdika sahihi naiuza kama spare yote ipo kwenye box lake
mimi ya kwangu imevunjika kioo so tukubaliane ama we uniuzie kioo au nikuuzie motherboardNatafuta Motherboard ya TV LED LG 42" mwenye nayo please yangu imebuma.
Nunua mkuunami nina lg inch 42 imevunjika kioo so nikuuzie motherboard ama we uniuzie kioo
Kula 200k mkuu, rekebisha hizo namba za cmipo HOME BASE MPYA NI FLAT SCREEN (DOUBLE SCREEN) INCH 25 BEI 350 NICHEKI KWA 07686881956 NIPO MBEYA
nope hiyo haishuki jamaa basi nnakupa offer na king,amuzi cha azam na antena kwa bei hiyoKula 200k mkuu, rekebisha hizo namba za cm