Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
700 mkuu hamna, labda uchukue hizi haier 42" smart, nikama lg tu, wanashare spareNimeona LG hapo 49" ila naona iko juu. Kwa bajeti ya 700 LG inch kuanzia 40 sipati?
Hisense hatuna mkuuAbdulwahid je una Hisense nchi 39,bei kiasi gani?
Mi smart naona magumashi. Em nione picha kaka700 mkuu hamna, labda uchukue hizi haier 42" smart, nikama lg tu, wanashare spare
Mna 49" LG/samsung 4K UHD smart tv? Bei gani?Hisense hatuna mkuu
Zipo lg mkuu, tunauza 1.7mMna 49" LG/samsung 4K UHD smart tv? Bei gani?
Vipi zina warranty?Mkuu tunazo zote, lg na samsung 32" tunauza 450000, sema huko sina means yoyote ya kukuletea, naweza kukuletea mpaka tanga mjini kama utakua tayari
Zinazo mkuu 1 yearVipi zina warranty?
Samsung au sony TV inch 32 naipata kwa shi ngapi niko arusha 0762742349Alieko arusha na anashida ya tv yoyote anijuze nitampatia kwa bei nzuri sana.
Samsung kwa 530000 mkuuSamsung au sony TV inch 32 naipata kwa shi ngapi niko arusha 0762742349
Wall mount zake mnazo? Bei gani?Zipo lg mkuu, tunauza 1.7m![]()
Zipo mkuu zile fixed, tunauza 35000Wall mount zake mnazo? Bei gani?
Naomba namba yako.Zipo mkuu zile fixed, tunauza 35000
0777650286 & 0718919725Naomba namba yako.
Ya kiwandani hazina ila sisi tunakupa 3 moths
Hio star x ulianza kuiuza 320,000 huko zanzibar kuileta dar ikawa 350,000 hio ilikua novemba sasa hivi february mbona imefika 380,000 ? kodi gani imeongezekanhapo bandarini ndani ya miezi miezi 3?...Ya kiwandani hazina ila sisi tunakupa 3 moths
Mkuu hii sijawahi kuiona wala kuisikia kwa kweli so siwezi kuiongelea chochoteMkuu hivi unaifahamu TV inaitwa TANDAR kuna mahala nimeiona nakama unaifaham vip ubora wake