nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,055
- 3,120
Poa nitakucheki mana nipo pori,narudi town wk endNiongezee laki moja kavu uichukue... Hiyo milioni moja nadaiwa... Laki itanisaidia kwenye nauli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa nitakucheki mana nipo pori,narudi town wk endNiongezee laki moja kavu uichukue... Hiyo milioni moja nadaiwa... Laki itanisaidia kwenye nauli.
Poa tutawasiliana kwa hiyo namba 0713961638Poa nitakucheki mana nipo pori,narudi town wk end
ninayo flat screen star x 24" brand new na warranty unapata nauza 255k ongeza elfu tano nikuekee ila inatumia 220vMimi nahitaji TV flat screen. Nina laki 2.5. Iwe inatumia AC na DC. Mwenye nayo aniambie ni inch ngapi. Tar 30 nitakuwa dar kuichua. Very serious.
mkuu tv ya chogo zinaconsume umeme mwingi,Nahtaj TV ya chogo ya mtumba inch 21 or 24 nipo mkuranga pwani 0679921501
mwanza mnapatikana wapikaka ongeza 60 hapo nikupe star x 32 mpya kabisa...
0718 537 216
toa hiyo hela nikupe tv nzuri
Duh mkuu pole sana, kama ungekuepo zanzibar ningekuambia ilete dukan, bei ni nzuri tu hiyo, hata hivo akitokezea mtu anataka 55" naweza kukuunganisha nae maana sisi hatuna hizo kwa sasaMkuu abdulwahid huwezi kunisaidia kunifanyia market ya TV vyangu ya Samsung? Ni series 5, ledtv inch 55.. Niliinunua million 2.2 mwezi wa 12/2016 sasa ninashida naiuza 1.2m bado mpya box yake ipo na sponge zake...
Nimeshajaribu hapabjukwaani ila sijafanikiwa kupata mteja.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nina matatizo ndio maana naiuza bei ya kutupa. unajua matatizo ni sawa na udhalili!Duh mkuu pole sana, kama ungekuepo zanzibar ningekuambia ilete dukan, bei ni nzuri tu hiyo, hata hivo akitokezea mtu anataka 55" naweza kukuunganisha nae maana sisi hatuna hizo kwa sasa
Unaweza kuni pm no yako, na sijui kwanini tu kwa hiyo bei nilitegemea uwe kushaiuza hapa jukwaani
Mahitaji TV ya chogo kubwa kuanzia 32inch naweza pata nipo Mwanga KilimanjaroAlieko arusha na anashida ya tv yoyote anijuze nitampatia kwa bei nzuri sana.
Pitia coment za nyuma apo utaona mirejesho kibao, hata hivo sio wote wanao nunua huja hapa na kuleta mrejesho, wengi wao wanaamua kubaki kimya, lakini binafsi nawashukuru wanajamii forum, nimefanya biashara na wengi sana humu, japo nimekutana na changamoto pia.Mbona toka Uzi uanze 2015 sioni mrejesho nani ameweza kuuza au kununua?? Leteni mirejesho muwatie moyo wengine
mimi nilinunua star x mkuu kwa huu uzi mbona una imani haba sana?Mbona toka Uzi uanze 2015 sioni mrejesho nani ameweza kuuza au kununua?? Leteni mirejesho muwatie moyo wengine
220k vp naeza kupata?Mkuu andaa 290000 nikuletee kesho inshaallah
Contact: 0718919725 & 0777650286
Mimi ninazo TV aina ya Star X,Zina king'amuzi ndani take,unaseti tu kwa antenna au satellite dish then unapata channel.Naomba kujua unapoambiwa kuwa tv ni digital tv kuwa inaweza kushika chanel bila kuweka king'amuzi hapo inakuwaje hapo!?