Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Pitia coment za nyuma apo utaona mirejesho kibao, hata hivo sio wote wanao nunua huja hapa na kuleta mrejesho, wengi wao wanaamua kubaki kimya, lakini binafsi nawashukuru wanajamii forum, nimefanya biashara na wengi sana humu, japo nimekutana na changamoto pia.
So ondoa shaka bwana mdogo, kama kuna tv au hometheatre wewe sema tu utapatiwa kwa bei nafuu kabisa
Samsung Home theatre ya watt1000 unauza bei gan had arusha?
 
Pitia coment za nyuma apo utaona mirejesho kibao, hata hivo sio wote wanao nunua huja hapa na kuleta mrejesho, wengi wao wanaamua kubaki kimya, lakini binafsi nawashukuru wanajamii forum, nimefanya biashara na wengi sana humu, japo nimekutana na changamoto pia.
So ondoa shaka bwana mdogo, kama kuna tv au hometheatre wewe sema tu utapatiwa kwa bei nafuu kabisa
mkuu za majukumu, naomba kufahamu ghrama ya star x 32 inch kwa dar je bado ni Tsh.380,000 na vipi bei ya TCL 32 inch
 
Mkuu, bajet ya laki 4 nitapata flat tv ya inch ngp na bei gan
Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000
6a7b8dd7a7cdeb3d6b6a59a88f82dbde.jpg
a31d9a5a808f1e7bdb5484a254bb8565.jpg
[/QUOTE]
.functionally what are the differences between those two.?please
 
cbc5f94163f04efffd7fff6d2094745d.jpg
2eebfbd338d2e36f8ae8827cfd40802f.jpg


Wakuu nahitaji Soround speaker za sony kama hizi hapa mwenye nazo tafadhali tufanye biashara. Pia abduli kama unaweza nisaidia najua kwa zanzibar hizo vitu ni rahisi kupatikana.
 
mkuu abdull wahid vipi hapo dukani kwako hapo znz zipo smart tv inch 32 au 40 ? na bei zake zina semaje? asante
 
Back
Top Bottom