Kibosho kwetu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 215
- 85
ni pmMimi ninazo TV aina ya Star X,Zina king'amuzi ndani take,unaseti tu kwa antenna au satellite dish then unapata channel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni pmMimi ninazo TV aina ya Star X,Zina king'amuzi ndani take,unaseti tu kwa antenna au satellite dish then unapata channel.
Samsung Home theatre ya watt1000 unauza bei gan had arusha?Pitia coment za nyuma apo utaona mirejesho kibao, hata hivo sio wote wanao nunua huja hapa na kuleta mrejesho, wengi wao wanaamua kubaki kimya, lakini binafsi nawashukuru wanajamii forum, nimefanya biashara na wengi sana humu, japo nimekutana na changamoto pia.
So ondoa shaka bwana mdogo, kama kuna tv au hometheatre wewe sema tu utapatiwa kwa bei nafuu kabisa
mkuu za majukumu, naomba kufahamu ghrama ya star x 32 inch kwa dar je bado ni Tsh.380,000 na vipi bei ya TCL 32 inchPitia coment za nyuma apo utaona mirejesho kibao, hata hivo sio wote wanao nunua huja hapa na kuleta mrejesho, wengi wao wanaamua kubaki kimya, lakini binafsi nawashukuru wanajamii forum, nimefanya biashara na wengi sana humu, japo nimekutana na changamoto pia.
So ondoa shaka bwana mdogo, kama kuna tv au hometheatre wewe sema tu utapatiwa kwa bei nafuu kabisa
600000Samsung Home theatre ya watt1000 unauza bei gan had arusha?
Yeah mkuu bei ndo hiyo hiyo, tcl smart ni 450000mkuu za majukumu, naomba kufahamu ghrama ya star x 32 inch kwa dar je bado ni Tsh.380,000 na vipi bei ya TCL 32 inch
.bado ipo mkuu.?Nina TV yangu Philips nahitaji laki 350000 tu nipo Dar es salaam kama una mtu Dar mwambie aje aione ajirizishe TV iko poa kabisa rangi ni Silva inch 32. Karibu sana
Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000Mkuu, bajet ya laki 4 nitapata flat tv ya inch ngp na bei gan
Mpya au!? Specification zake mkuu tafadhaliSamsung led 24"
Price: 320000![]()
.functionally what are the differences between those two.?please[/QUOTE]Star x led 32" kwa 330000 au tcl smart 32" kwa 400000![]()
![]()
Si unaiona ipo sealed kwenye box yake?Mpya au!? Specification zake mkuu tafadhali
Hii unaweza kufanya kama monitor ukiwa na computer!?Si unaiona ipo sealed kwenye box yake?
Ni led, size ni 24", ni full hd, inasapoti flash na hdmi cable
Ndio unaweza mkuuHii unaweza kufanya kama monitor ukiwa na computer!?
1.Kabila tofauti 2.tcl ni smart wakati star x ni led tu[/QUOTE].functionally what are the differences between those two.?please
Ofisi zako ziko wapi mkuu?[/QUOTE]1.Kabila tofauti 2.tcl ni smart wakati star x ni led tu
Zipo tcl smart 32" 430000, samsung smart 40" 1.1mmkuu abdull wahid vipi hapo dukani kwako hapo znz zipo smart tv inch 32 au 40 ? na bei zake zina semaje? asante