Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

04A04B5B-7F35-4A5B-8FD4-D4C90C9633BB.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hongera wewe afadhali ulibahatika kupata vibaka wa kukuondolea kero maana hakuna kero mbaya umenunua dude kubwa kwa bei kubwa halafu unaweka sebuleni , umeunga dstv au azam lakini mpira unaangalia hata sura ya mchezaji huitambui lakini ukiangalia TV yenyewe mabango kibao mara 4K, mara smart, HDMI lakini picha sasa!!!!? nina option ya kuibadilishia utumbo CARD nimeambiwa kuna kadi mzuri za mchina zinapatikana kwa bei nafuu ikishindikana ni kutaim usiku wa manane kwenda kuitupa jalalani au najifanya nampelekea fundi kutengeneza na kuitelekeza huko huko
Samahani mkuu, unapoenda kununua huwa huwaambii waiwashe uangalie mpaka ujiridhishe? Au utaratibu unakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu, unapoenda kununua huwa huwaambii waiwashe uangalie mpaka ujiridhishe? Au utaratibu unakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ma picha fulani ya HD huwa sijui wametolea wapi ndio huwa wanazicheza zinakuwa angavu kweli kweli kumbe wanazo kwenye flash utaingia king tuu....Peleka nyumbani sasa ndio utaona shughuli ya jeshi
 
Samahani kama nitakua nje ya lengo la thread.. Naomba kuuliza TV nchi 32 SAMSUNG imeungua taa za ndani, just inawaka inatoa sauti lakini picha ni giza, nauliza bei ya hizo taa kama nitaweza kupata na kwa bei ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategema TV yako ina mikanda mingapi ya bulb inch 32 Mara nying ni mikanda minne or sita (inategema hio TV kama copy or Og) mkanda mmoja ni elfu 20..cha kumlipa fundi makubalinao yenu
Samahani kama nitakua nje ya lengo la thread.. Naomba kuuliza TV nchi 32 SAMSUNG imeungua taa za ndani, just inawaka inatoa sauti lakini picha ni giza, nauliza bei ya hizo taa kama nitaweza kupata na kwa bei ipi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ma picha fulani ya HD huwa sijui wametolea wapi ndio huwa wanazicheza zinakuwa angavu kweli kweli kumbe wanazo kwenye flash utaingia king tuu....Peleka nyumbani sasa ndio utaona shughuli ya jeshi
Hahaha, so ni vyema nikienda nibebe flash yangu na movie or music video zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom