Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulikuwa tunaopiga gombania goli, yaani kitaichii zaidiMABIBI WA ZAMANI WALIKUWA SIO WACHOYO...WALIKUWA WANATUPENDA KUTOKA MOYONI!! HAPO NI MDA WA KULA UGALI...ILIKUWA KILA MTOTO NA BAKULI LAKE LA MBOGA.
View attachment 2748909
Kama wewe Ni me,mwambie wife akate mapande makubwa km Bibi,km wewe Ni ke, anza kukata km Bibi.Kabisa....nimemkumbuka bibi alikuwa akipika nyama anakata mapande makubwa
Duuu wimbo wao ulikua mzuri sanaa pamoja na video yake sikuwai kuwajua.Wana fanya nn sasa ivi mkuu.Wazee wa Bush Party View attachment 2756739
Mpaka leo hii hakuna aliyeweza kuvunja rekod yake ya kukontrol watu kwenye show.Mapema Miaka ya 1980's ,Mfalme wa Muziki wa Pop Duniani Michael Jackson Kushoto akiwa na Moja ya Wafalme wa Muziki wa Rock duniani "Freddie Mercury" Hapo Kulia....Je ni Nani huyu Freddie Mercury?
Mercury alizaliwa Tarehe 5 September Mwaka 1946 Stone Town Zanzibar akipewa jina la Farrokh Bulsara na Wazazi wenye Asili ya India,....Na Kabla ya Uhuru Wa Tanganyika na Zanzbar Freddie alisomeshwa Shule za Bweni Nchini Uingereza, hii ni Kabla ya Kurejea Zanzibar baada ya Kumaliza Sekondari na Kisha kukimbia Tena na kuelekea Middlesex Uingereza na Familia yake mwaka 1964 Wakikimbia Machafuko na Vurugu Wakati wa Mapinduzi kule Zanzibar, akahamia UK, akapewa Uraia wa Uingereza na Jina Jipya.
Baada ya kusomea Muziki kwa Miaka kadhaa Mercury alianza kuitikisa Dunia ya Burudani Miaka ya 1970, Akiwa na Band Queen Mercury alisifika Duniani kwa uandishi wake matata na Namna yake ya Ku-perform Katika Jukwaa na vibao vyake Vikali vilivyotamba Duniani huku alisifika kwa Kuandika vibao Kama vile "Killer Queen", "Bohemian Rhapsody", "Somebody to Love", "We Are the Champions", "Don't Stop Me Now" na "Crazy Little Thing Called Love".
Freddie Mercury ambaye alikuwa akijihusisha na Vitendo haramu Vya Ushoga aligundulika kuwa na Virusi vya Ukimwi (HIV-AIDS) mnamo Mwaka 1987 Lakini aliendelea kurekodi Muziki na albamu zake mpaka alipofikwa na Mauti 24 Nov 1992....na Mwaka huo huo 1992 baada ya Mauti yake liliandaliwa Concert kubwa la Rock Katika Uwanja wa Wembley kumkumbuka Gwiji huyo wa Waingereza....na Baada ya Mauti yake waliendelea kumkumbuka kwa Tuzo Mbali Mbali Kama vile Rock and Roll Hall of Fame (2001), Ivor Novello Award for Outstanding Song Collection from the British Academy of Songwriters, Composers, and Authors(2005), Songwriters Hall of Fame(2003), UK Music Hall of Fame (2004), ikitanguliwa na Ile ya 1990 akiwa hai (Brit Award for Outstanding Contribution to British Music).
View attachment 2756381
Za matundu ndo nimezikosa,zingine zote nimegusa.Chagua coin ambayo kwa umri wako uliwahi kutumia View attachment 2749119