Kibaraka wa mabeberu apigwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani watAnzania mnatka apigiwe Nani!?
Upo Wapi WeweNimeona twitter kuwa moscow inasambaratika baada ya kuangushiwa nuc bomb?
Russia waliwapa silaha watanzania vita ya Idi amini .Na warusi walisomesha watanzania wengi .Kwa hiyo Tanzania wapo loyal kwa mrusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani watAnzania mnatka apigwe Nani!?
Mataqwo ya mamama akoMabomu ya kurusha kwa mkono
Anaandika Kama Yupo Chamwino Wilayani Ama Hombolo Anachukua Mchuzi Wa ZabibuMkuu mbona unaandika kama upo Chimwaga? Wewe unadhani Moscoe ni kama Lumumba eeeh?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lete na chanzo cha taarifa basi dahNimeona twitter kuwa moscow inasambaratika baada ya kuangushiwa nuc bomb?
Wanajaribu kuishusha bila mafanikio nahisi mtambo mpaka unaishiwa
Inabidi Apooze MtamboMtambo ume over heat
Mfuasi wa tbc na bbc wewe, yaani tz kwA korea haifikia hata roboWale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.
Ebu tuache kusikiliza propaganda za US, yaani nchi iwe na uwezo wa kutengeneza nyuklia na kuzi maintains, iweze kutengeneza silaha zake mwenyewe, magari na hata communications system yake na iweze ku survive vikwazo kwa miaka yote then useme Ina uchumi mbovu kulinganisha na nchi inayo import almost kila kitu!?Wale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.
Vita hata kwenye biblia watu walipigana sana. Dunia haiwezi kutulia kamwe. Watu wa congo, Uganda, rwanda na burundi watupumzishe kwanza, tunataka tuone show ya vyombo vipyaWakuu, hii dunia vita ni jadi yake.
Asipopigana Urusi, atapigana Mmarekani, akipumzika huyo, Israel na Palestina wanakiwasha, hao wakichoka kuna vita somewhere in Africa.
Kuna kipindi hapa katikati palitulia kidogo nikajiuliza kulikoni, sisikii vita? Hadi kuna nchi unajiuliza kama bado zipo. Dunia ni uwanja wa vita, imekuwa hivyo siku zote.
Hii vita nayo itaisha tu kuipa nafasi nyingine, hii si mara ya kwanza Urusi kumtandika Ukraine. Nadhani Ukraine aache ukorofi na kumsikiliza sana Mmarekani anayemchochea kwa nia ya kumchokonoa Mrusi.