LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Uzi wako umejaa propaganga kuliko uhalisia, sema unahoja[emoji106][emoji4]
 
Nimekuelewa Mkuu taaluma yako unaitendea haki
 
Wale wanaokufa na njaa kila siku. Uchumi wao unazidiwa hata na huu wa kwetu. Kiduku bure kabisa.
Ebu tuache kusikiliza propaganda za US, yaani nchi iwe na uwezo wa kutengeneza nyuklia na kuzi maintains, iweze kutengeneza silaha zake mwenyewe, magari na hata communications system yake na iweze ku survive vikwazo kwa miaka yote then useme Ina uchumi mbovu kulinganisha na nchi inayo import almost kila kitu!?
 
Vita hata kwenye biblia watu walipigana sana. Dunia haiwezi kutulia kamwe. Watu wa congo, Uganda, rwanda na burundi watupumzishe kwanza, tunataka tuone show ya vyombo vipya
 

Rais Zelensky hajulikani aliko​

Inaelezwa kwamba aliko Rais Zelensky ni suala lililowekwa siri baada ya mwenyewe kuwaambia viongozi wa Umoja wa Ulaya kwamba ni mtu wa kwanza katika orodha ya watu wanaolengwa na Urusi.

Japokuwa rais huyo ametoa pendekezo la kutaka mazungumzo na Urusi kuhusu madai muhimu yaliyotakiwa na Moscow, ambayo ni kuitaka Ukraine itangaze kuwa haina upande na itaaachana na dhamira yake ya kutaka kujiunga na NATO.

Urusi kwa upande wake imejibu pendekezo hilo ikisema iko tayari kutuma ujumbe wake nchini Belarus kuyazungumza hayo.

Mwandishi: Saumu Mwasimba

Mhariri: Mohammed Khelef
DW Kiswahili
 
Tusidanganyane Russia kashindwa ingia Kyiv
Your browser is not able to display this video.

Mji Mkuu wa Ukraine wamechakazwa hasa, labda watumie drone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…