LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Israeli ina fanya surgical operations ndani ya iran kila siku hao urusi hawawezi wana uwa raia wasio na hatia
 
yaan wewe unabariki taifa lingine kulipangia taifa lililo huru kipi cha kufanya na kipi cha kutokufanya,
mfano leo wewe nini raisi wa tanzania
akatokea jiran yetu yeyoto ambae ana nguvu kukushinda,
akaja na masharti yake kuwa
anataka wanaume wawe mashoga, je wewe kama rais utakubaliana nae kwa sababu huyu jiran yako uwezo wa kukupga anao,
au utaamua kufa kiume,
 
Mkuu na wewe una ushabiki mwingi sana kuliko uhalisia,unaandika maneno mengi lakini unarudia mambo yale yale ambayo tangu uemanza kujibizana na Tsh keshakujibu zaidi ya mara kumi,nachokiona hapa wewe ni hodari wa kuandika comment ndefu zilizojaa kile unachofikiria na unapenda kiwe kulingana na matakwa yako.
 
Wafuasi wa udikteta na mauaji Tanzania wanateseka sana. Wakati Warusi wenyewe wanampinga gaidi Put-in na genge lake, kuna Warusi wa Tanzania wanamuunga mkono!!!

Jana vyombo vya habari na mitandao ya kijamii Urusi imepigwa pini na Put-in ili Warusi wasifuatilie kwa karibu ujinga unaotekelezwa kule Ukraine 🙄 Ni aibu!
 
Wamepiga U-turn baada ya kugoma kwa muda mrefu kupeleka silaha! Zile kofia ngumu zipatazo 5000 zilipelekwa siku ya pili baada ya kuanza kwa mapigano.
Watu walilaani sana maana Ukraine alitaka kofia 100K yeye akapeleka 5K
 
Kuyaepuka kwa kufuata matakwa ya Russia ambayo si matakwa ya Eukraine? Hapa swali linakuja, Eukraine ni nchi inayotakiwa kufuata matakwa ya Russia tu? Au ina misimamo yake?
Mkuu naona umeamua kwenda nae sambamba, na una press the right button
 
Sababu Media ndio agenda yao huko East of Ukraine Russia wana support kubwa sana na ukumbuke upinzani ulianza siku nyingi huko sisi tutaona wanachotaka tuone tu wala hawa report ukweli wewe nchi kama wanavyotaka tuamini jeshi lao liko vizuri sasa wanagawa silaha kama njugu tujilinde unawapa watu AK 47 hizo ndio watazuia ma Tanks? si kama kujinyonga tu. Na sisi wa Africa tuache unafiki kidogo kujifanya inatuuma sana na hao wa Ukraine toka lini hao west walijali maisha ya wengine ila sababu mambo yako kwao basi Media zote wamejaa huko na kutu brain wash maana vitua vya habari hawa report uhalisia ila wanatuambia maoni yao.
 
Mkuu kwa huu msimamo wako,ingekuwa una ndoto za kuwa kiongozi,hata kuongoza kitongoji hutakiwi kuwa kiongozi.Kwa hiyo kina Kiduku wanavyokuwaga wanasimamia maslahi ya Nchi zao huwa ni wajinga? Yani umwache tu jirani yako aje alale mpaka kitandani kwako na mkeo kisa unapima madhara ya kupambana nae yatakuwa makubwa zaidi kuliko maslahi ya Ndoa yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…