LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
BREAKING: It’s almost daylight on day 4 of the Russian attack and I’m thrilled to report that Volodymyr Zelenskyy is still the President of Ukraine. Remember when Putin said he’d do it 3 hours? Not on Zelenskyy’s watch.[emoji81][emoji81][emoji81]
 
BREAKING: It’s almost daylight on day 4 of the Russian attack and I’m thrilled to report that Volodymyr Zelenskyy is still the President of Ukraine. Remember when Putin said he’d do it 3 hours? Not on Zelenskyy’s watch.
 
Kichapo kinachotembea UKRAINE tuombe mungu tu. Ila Urusi ameamua kuingia mazima maana walisimamisha mashambulizi kwa sababu ya mazungumzo na UKRAINE hawakutokea. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji846] hiki kichapo ni mwamuzi ni MUNGU tu.
Kichapo gani?
 
Mara baada ya watu kuanza kuishitukia janga la kimchongo la UVIKO-19 na kuanza maandamano duniani, imebidi itafutwe njia ya kuondoa fikra za watu kwenye reli.

Mataifa yameshapiga hela, watu wamechomwa chanjo ambayo hata haiwazuii kupata wala kuisambaza korona lakini inaitwa chanjo.

Sasa hivi hakuna hata mmoja anayezungumzia tishio tena, WHO haina muda tena wa kutoa miongozo, picha za chanjo kutumwa kutoka kwa mataifa’wahisani’ na kupokelewa na watembeza vibakuli hazina maana tena.

Dunia haiko fair kabisa aisee. Yaani ndo hivyo tumechezewa kindezi tu!

Kila mtu sasa hivi ni Ukraine tukitoka hapo utashangaa mataifa mengi yamelegeza kama siyo kufuta kabisa vikwazo dhidi ya UVIKO-19.

Fear is the best tool and weapon through which you can control the whole world.

Ukishawajaza watu hofu, ni rahisi sana kuwatawala!
Unatumia akili au matope, alafu wewe ni mtu mzima kabisa yani unawaza utoto
 
yaan wewe unabariki taifa lingine kulipangia taifa lililo huru kipi cha kufanya na kipi cha kutokufanya,
mfano leo wewe nini raisi wa tanzania
akatokea jiran yetu yeyoto ambae ana nguvu kukushinda,
akaja na masharti yake kuwa
anataka wanaume wawe mashoga, je wewe kama rais utakubaliana nae kwa sababu huyu jiran yako uwezo wa kukupga anao,
au utaamua kufa kiume,
Mbona tunawapangia wa Zanzibar ni cha kufanya. Unajuwa sababu za Rwanda kupigana vita ndani ya Congo unajuwa sababu zake? kwa sababu wapinzani walianzia kule ndani na hata sisi ikitokea siku umesikia wapinzani wanajipanga kupitia Burundi unadhani tutakaa kimya kwa sababu Burundi nchi huru wana haki ya kuamua wanachotaka. USA walifanya nini Cuba? unadhani watakubali Russia aweke makombora yake Cuba. mbona tunajitoa ufahamu.
 
umesahau kwamba china, india na nchi zingine za america kusini bado wapo na russia. pia, russia pia anavyo vitu ambavyo akiona anaumia kiukweli, anaweza kuwapiga navyo wamagaribi wakaomba poo. muda bado sana, tusubiri kwanza siku ziende. raia ni kweli wataumia, kama wanavoumia waukrain, ila cha muhimu ni kwamba wataumia kwa muda gani? na kuumia ni part ya maisha ili utafute solution ya kudumu siku ingine usiumie tena. kuna uwezekano tukarudi kwenye cold war muda si mrefu, na russia atatumia technolojia na silaha kukomba maadui wa marekani/wamagaribi na block itasimama tena, na yote haya yanatokana na kichwa ngumu ya wamagaribi kumtia kidole kwenye macho wakati alikuwa ametulia.
Sasa kama unalijua hili kuwa" kuumia ni sehemu ya maisha",why unashindwa kumwelewa Tsh anapokupa sababu za Wananchi wa Ukraine kusimama na Raisi wao kutetea masalahi ya Nchi yao?
 
kumbe basi kama ni hivyo basi pande zote kuna wanaopinga pia,iwe Ukraine or Russia,nilimuuliza mtoa comment maana naona kajikita kutuletea tu negative issues za Ukraine kana kwamba kule Russia wao wote wanakubaliana na kinachoendelea.
hakuna kinachopendwa nakila mtu wala kuchukiza kila mtu nature ipo hivi
 
BREAKING: It’s almost daylight on day 4 of the Russian attack and I’m thrilled to report that Volodymyr Zelenskyy is still the President of Ukraine. Remember when Putin said he’d do it 3 hours? Not on Zelenskyy’s watch.
Alisema wapi 3 hours?
 
Vita ikiisha mapema inasaidia.
hakika ila vita ambayo haijavuka hata week huwezi sema imechukua muda mrefu nawala hakuna sehemu RUSSIA kasem atachukua muda kumpindua ama kuiangusha serikali yajijini KIEV
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Alisema wapi 3 hours?
Huko Media zao tu wanasema Jeshi la Russia halijaanza safari ya kuingia wanaopiga kwa sasa ni kile kikundi kidogo cha jeshi kinachfanya tathmini na kulegeza njia wakipewa green light tu ni moja kwa moja kukibeba kile kijoti.
 
yaan wewe unabariki taifa lingine kulipangia taifa lililo huru kipi cha kufanya na kipi cha kutokufanya,
mfano leo wewe nini raisi wa tanzania
akatokea jiran yetu yeyoto ambae ana nguvu kukushinda,
akaja na masharti yake kuwa
anataka wanaume wawe mashoga, je wewe kama rais utakubaliana nae kwa sababu huyu jiran yako uwezo wa kukupga anao,
au utaamua kufa kiume,
Kwamba zanzibar akitaka jiunga na jumuiya ya kiislamu sawa, akitaka mahakama ya kadhi sawa, akitaka ongoza kwa sharia sawa, awe dola ya kiislamu sawa

Ni kichapo tu yaani nikupe uhuru unao hatarishi uhuru wangu hakuna iyo
 
Huko Media zao tu wanasema Jeshi la Russia halijaanza safari ya kuingia wanaopiga kwa sasa ni kile kikundi kidogo cha jeshi kinachfanya tathmini na kulegeza njia wakipewa green light tu ni moja kwa moja kukibeba kile kijoti.
Haya sasa mahaba na si uhalisia.
 
Umekuja nchini kwangu, unanipa matakwa yako ambayo si matakwa ya nchi yangu. Ntasimama na nchi yangu.

Nikiogopa usiniue leo, kesho tena utakuja na takwa jingine. Bora tumalizane kuliko niwe mtumwa wa maamuzi yako.

Mkeo akitaka ujiandalie maji ya kuoga asubuhi, ataanza kidogo kidogo. Atakupelekea maji ataacha sabuni. Ukiuliza atakuambia nimesahau ipo hapo stoo. Kesho anasahau tena mwishowe unazoea sabuni ilipo, anahamia kwenye taulo mpaka ukija kushtuka huwa unaamka unachemsha maji unafuata taulo na sabuni na unaoga bila yeye kufanya lolote. Kumzuia ni pale mwanzoni, umwambie nenda kaandae kila kitu ndo niambie nikaoge.
Mimi wife namzuia mwishoni na hakiharibiki kitu, Yaani kufuata maelekezo ataanzaje kukataaa!
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Russia amejidai Ni super power kumbe hakuna kitu
Mpaka Sasa Ukraine imemshinda naona Sasa nato wamemuona Kama karagosi Sasa wameamua kuingia Vita keep msaidia Ukraine na baadaye kumfuata Russia kwake ndyo mwisho wa Russia
Nina mashaka utakuwa James mtamu
 
Ndugu yangu. Eukraine baada ya kupigwa atasaidiwa kuinuka. Hata sasa bajeti kubwa sana imeshapitishwa kwa ajili yake. Hii ni endapo Russia ataachana na vita.

Jambo lingine ambalo Russia ana kazi kubwa kama hataachana na vita ni kubaki pale Eukraine akisimika utawala wake utakaomtii yeye bila kelele kutoka ndani na nje na bila machafuko ya waasi masalia huku akipambana na vikwazo na kuwatuliza raia wake ambao wanaumia na vikwazo.
UKRAINE hata atengewe kiasi gani MKUU itamchukua zaidi ya miaka 10 ku rebuil upya hasara alizozipata ama anazoendela kuzipata
ingawaje atapata unafuu sababu yakusaidiwa
 
Back
Top Bottom