the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,611
- 7,063
Kaka wenzako wanafanya Sana research sisi tukilala mabeberu yanakesha yakifanya study. Tunaweza kujua kama hypersonic kama haidukuliwi aidha lah! kama ingetumika kwenye real battle na sio drilling. Ntachelewa kuamini warusi wana akili kuliko wote, keep this in mind kwenye ufanisi wa silaha regiments zinatunza sana Siri ili wakiingia kwenye battle kupata air au naval supremacy kwa haraka mno
Ziko wapi hzo ? Achana na story za vijiweni , ni mda mwafaka wa urusi kutuonyesha mana ameitafuta chance , na imetokea ,..urusi itamgharimu Sana , japo Ukraine ndo middle , wahuni wao wanakula kuku Kwa mrija maeneo ya IndianapolisNi kwamba hujui Urusi ana hypersonic missiles ambazo haziwezi kuwa intercepted au basi tu unataka kubishana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hii ni kweli, wamarekani sio watu zaidi ya nilivyokuwa nikifikiri awali.The Russian military special operation in Ukraine coincided with the planned launch of U.S. military biolaboratories in Kiev and Odessa. On February 26, the US Embassy in Ukraine rushed to delete all documents about 11 Pentagon-funded bio-laboratories in Ukraine from its website. All these documents (now deleted by the Embassy), you can read HERE.
In October 2021, the U.S. Defense Threat Reduction Agency (DTRA) of the U.S. Department of Defense published on the U.S. government procurement website an additional agreement on “combating highly dangerous pathogens. The document concerns the final stage of work on the launch of two bio-laboratories in Ukraine: in Kiev and Odessa. The additional agreement covers the equipping and training of personnel and commissioning of the facilities. The cost of the work is 3.6 million dollars, but some figures in the document are hidden for reasons of secrecy. According to the document, the laboratories were more than 90 per cent ready. However, the projects’ completion was delayed up to seven months from the date of signing the document (July 2021), thus to the end of February 2022:
====
XxxxxxxxxxxxRussian Military Operation Prevented Launch Of U.S. Bio-Laboratories In Ukraine. Kiev Hiding Evidence
The Russian military special operation in Ukraine coincided with the planned launch of U.S. military biolaboratories in Kiev and Odessa....southfront.org
Sababu za kuanza mgogoro huu ni nyingi.
Ni sawahakika ila vita ambayo haijavuka hata week huwezi sema imechukua muda mrefu nawala hakuna sehemu RUSSIA kasem atachukua muda kumpindua ama kuiangusha serikali yajijini KIEV
Ngoja tuoneUkraine ana uhakika wa kuibuka mshindi
😃😃😃Mimi wife namzuia mwishoni na hakiharibiki kitu, Yaani kufuata maelekezo ataanzaje kukataaa!
Vita ni mbaya sanaUKRAINE hata atengewe kiasi gani MKUU itamchukua zaidi ya miaka 10 ku rebuil upya hasara alizozipata ama anazoendela kuzipata
ingawaje atapata unafuu sababu yakusaidiwa
Bad for RussiaChinese banks zimeanza punguza flow of money kwenda Russia maana swift inapigwa PIN
Na kweli ubaya haufutwi kwa ubaya.Ni sawa!
Ila tukubaliane Kwa alicho tufanyia Mrusi kwenye ile vita sio poa! Kosa halifuti kosa!
Putin si kashasema hadharani taifa lolote litakaloingilia hii vita directly litajua halijui. Waambie sasa hao Marekani na NATO wako waingie front kupigana na Urusi, wasiishie tu kutoa msaada wa silaha Ukraine, afu uone Putin atafanya niniZiko wapi hzo ? Achana na story za vijiweni , ni mda mwafaka wa urusi kutuonyesha mana ameitafuta chance , na imetokea ,..urusi itamgharimu Sana , japo Ukraine ndo middle , wahuni wao wanakula kuku Kwa mrija maeneo ya Indianapolis
Kwasasa nadhani Urusi ndio ameingia rasmi Ukraine... Chenchen wapo nyuma wanakuja
Ukifungua link niliyoweka. Vithibitisho vimeambatanishwa humo.Kama hii ni kweli, wamarekani sio watu zaidi ya nilivyokuwa nikifikiri awali.
Nimesoma juu juu, nimeisave nitaisoma baadae kwa utulivu.Ukifungua link niliyoweka. Vithibitisho vimeambatanishwa humo.
Yani we jamaa Una mawazo ya komborera na ushabiki wa vijiweni , NATO, itamshambulia kupitia humo humo Ukraine , Yani yeye ajue tu kwamba kupitia Ukraine anapambana na wengi .... Hautaona kombora linatokea sjui marekani au sjui wapi , humo humo tuuu watamvurugia , japo Ukraine ndo mbuzi wa kafara...Naona hata tajiri wa Chelsea ameamua kuikimbia timu Kwa mda , mzungu sio mtu mzur😊Putin si kashasema hadharani taifa lolote litakaloingilia hii vita directly litajua halijui. Waambie sasa hao Marekani na NATO wako waingie front kupigana na Urusi, wasiishie tu kutoa msaada wa silaha Ukraine, afu uone Putin atafanya nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, wamba kibao nukes wanazo ila ni confidential hakuna anaejitangaza kwamba mimi ninazo. Logic yangu ipo clear kwamba Russians currently hawezi kuwa na kitu cha kuwazidi wengine, kama ni mfatiliaji wa hizi mambo British alikuwa wa kwanza ku introduce tank kulichofuata wengine wakafuata, Russia alikuja na bm au ballastic messile wengine waka invest kwenye ant missile soft ware. Mimi na balance mizani kwenye hii batlleUnapoelekea utasema Urusi hana nukes, kama kweli anazo azitumie kwenye real battle
Sent using Jamii Forums mobile app
kama nani utafanya?Hicho ki imf hicho tutakifutulia huko na bomu moja tu kwa kigezo cha rafiki ya adui yako ni adui yako