Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 12,445
- 27,920
Empty head unazani Usa akiingia kuna ambacho uyo basha wako ata fanya?? Ilo ni biti la mtu anae jua majibu amna nchi inayo ingia ingia tu vitani kwa sababu ya nchi nyinginPutin si kashasema hadharani taifa lolote litakaloingilia hii vita directly litajua halijui. Waambie sasa hao Marekani na NATO wako waingie front kupigana na Urusi, wasiishie tu kutoa msaada wa silaha Ukraine, afu uone Putin atafanya nini
Sent using Jamii Forums mobile app