LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Uko sahihi sana tena sana tofauti na wambea wanaodhani kushabikia vita huku maisha ya watu wasio na hatia yakipotea ndo ujanja.
 
Lengo la putin hapo mwanzo halikuwa kuivamia Ukraine.

Bali lengo la putin kupeleka majeshi yake mpakani mwa Ukraine ,ilikuwa ana jaribu kuishinikiza Nato kuja kwenye meza ya mazungumzo ili NATO iweze kumhakikishia usalama wa taifa lake.
Lakini hakuna alicho ambulia ya kejeli na vitisho.
Na ndio maana jana Trump alimuita Putin ni mtu mwenye akili nyingi.

Putin aliweka huu mtengo kwa makusudi ili NATO ikishindwa kutimiza matakwa yake iwe ndo kisingizio cha kuivamia Ukraine lakini chakushangaza NATO walishidwa kuutegua huu mtego mwishowe wameiponza Ukraine.
NATO imeshindwa kuutegua ila wewe umeweza😁😁
 
Lengo la putin hapo mwanzo halikuwa kuivamia Ukraine.

Bali lengo la putin kupeleka majeshi yake mpakani mwa Ukraine ,ilikuwa ana jaribu kuishinikiza Nato kuja kwenye meza ya mazungumzo ili NATO iweze kumhakikishia usalama wa taifa lake.
Lakini hakuna alicho ambulia ya kejeli na vitisho.
Na ndio maana jana Trump alimuita Putin ni mtu mwenye akili nyingi.

Putin aliweka huu mtengo kwa makusudi ili NATO ikishindwa kutimiza matakwa yake iwe ndo kisingizio cha kuivamia Ukraine lakini chakushangaza NATO walishidwa kuutegua huu mtego mwishowe wameiponza Ukraine.
Niliposikia kwamba ^Makubaliano katika mazungumzo ni siri ya pande mbili,^ nikajua ngoma hiyo nzito, Wazaramo pekee ndio wanaoiwezea!
 
Ilikufa externally but internally ni sehemu ya Soviet, that why Russia wanaweza kuamua chochote na vyovyote nchi zote zilizokuwa chini ya USSR.
Tujipe muda Ukraine hadi May 2022 itakuwa ni sehemu ya Russia kwa msingi wa kuilinda na kulinda maslahi ya Russia yaliyotengenezwa enzi na enzi na waasisi.
Huwezi kulazimisha muungano wa namna hiyo karne hii. Nchi nyingi zilizokuwa ndani ya USSR hazina mahusiano yoyote ya karibu na Urusi. Zingine zimeingia NATO, kujaribu kuzitoa humo ni Vita ya Dunia.
 
Hakuna ujiniasi ni ujinga tu na ubabe wa Kikondoo umemjaa. Wanaokuja kuteseka ni raia wa kawaida maana yeye na familia yake wanalishwa hata kwa senti ya mwisho ya serikali. Kuivamia Ukraine bila sababu ya msingi eti kuonesha wewe ni mbabe ni ujinga. Yeye kajiunga na China na Irani nani kamzuia, mwenzie kusema anajiunga na NATO ni dhambi? Uhuru wa Ukraine anao yeye Urusi?
Marekani ya sasa hivi ni mbwa asie na meno!

Ulimwengu wa sasa hivi huwezi kumtishia mtu na vikwazo wakati nchi kibao tayari ni super kiuchumi!



Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Russia ni ndugu na Ukrain, wana historia ya pamoja. Mmarekani yeye ni mtu wa nje kabisa. Wakijikita kwenye undugu wao wakazungumza wangefikia suluhisho bila kuua watu wao. Ila wanajazwa upepo na mmarekani wauane wenyewe halafu vita ikiisha wanakuwa exhausted kiuchumi.
Anayejazwa upepo ni mamluki mmoja tu mkubwa -- yule jamaa aliyesababisha Trump awe impeached.
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Kwani kipindi USA na washirika wake wanavamia Libya,Iraq nk ulikuja na swali hili hili au sababu Urusi kafanya hivyo imeuma mkuu

Maana najaribu kusoma michango yako mkuu mingi ume take side Sana (Pro-America)
 
I'm not wishing for anything. The history is just happening right before your little glittering (yet blind) eyes!
Anayefikiria kuwa USSR itarejea kama ilivyokuwa, ni wishful thinking! Nchi kadhaa zilizokuwa ndani yake tayari ziko katika 'bloc' nyingine.
 
Wamarekani na warussia wa humu tukumbushane:

Zamani vita vilipiganwa kwa mawe na fimbo.
Vikaja vya mishale na mapanga na mabomu hafifu ya mawe na lami.
Vikaja vya bunduki na mabomu yenye nguvu kuharibu eneo kubwa.
Sasa hivi mataifa yana nyuklia. Pakitokea vita kubwa, vikimalizika vita vitakavyofuata ni vya mawe na fimbo.

Alisikika mtu mmoja maarufu aliyeona mbali sana.
 
Haahah USA na rafiki zake walivamia Libya ulikaa kimya, walivamia Sirya ulikaa kimya, walivamia Iraq ulikaa kimya, walivamia Afghanistan ulikaa kimya. Sasahivi hilo povu linatoka wapi?
Mkuu kitambo huwa nasoma michango ya huyu mwamba ni Pro-America mzuri Sasa wameanza kushuhudia wasicho kitaka povu linawatoka.
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Mmeanza kulia Lia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwani kipindi USA na washirika wake wanavamia Libya,Iraq nk ulikuja na swali hili hili au sababu Urusi kafanya hivyo imeuma mkuu

Maana najaribu kusoma michango yako mkuu mingi ume take side Sana (Pro-America)
Wewe unaniona Pro-American? Kuna wakati niliwahi kuonekana humu kama Anti-US ama Pro-Russian. Mara nyingi nimekuwa nikiandika michango yangu humu kwa kile ambacho ninakiamini. Haijalishi kiko upande gani.
 
Back
Top Bottom