Uko sahihi sana tena sana tofauti na wambea wanaodhani kushabikia vita huku maisha ya watu wasio na hatia yakipotea ndo ujanja.Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
I'm not wishing for anything. Nor am I thinking about anything really. It's only that the history is just happening right before your little glittering (yet blind) eyes!Hakuna lolote. Ni wishful thinking!
Nakukumbusha tu kuwa ndio walioiangusha USSR.Hakuna kitu Marekani na Wamagharibi wenzie watafanya zaidi ya vikwazo vya kiuchumi na propaganda tu.
Huwa najiuliza watu wanaoshabikia vifo vya wenzao kwa kuwaunga mkono wauaji akili zao huwa ziko kwenye kiungo gani?Ujinga tu. Putin na Biden na wadau wote wanaohatarisha usalama wa dunia ni WAJINGA. Wanajeshi watakufa, raia watakufa ili wao wasifiwe na watu aina yako.
NATO imeshindwa kuutegua ila wewe umeweza😁😁Lengo la putin hapo mwanzo halikuwa kuivamia Ukraine.
Bali lengo la putin kupeleka majeshi yake mpakani mwa Ukraine ,ilikuwa ana jaribu kuishinikiza Nato kuja kwenye meza ya mazungumzo ili NATO iweze kumhakikishia usalama wa taifa lake.
Lakini hakuna alicho ambulia ya kejeli na vitisho.
Na ndio maana jana Trump alimuita Putin ni mtu mwenye akili nyingi.
Putin aliweka huu mtengo kwa makusudi ili NATO ikishindwa kutimiza matakwa yake iwe ndo kisingizio cha kuivamia Ukraine lakini chakushangaza NATO walishidwa kuutegua huu mtego mwishowe wameiponza Ukraine.
Niliposikia kwamba ^Makubaliano katika mazungumzo ni siri ya pande mbili,^ nikajua ngoma hiyo nzito, Wazaramo pekee ndio wanaoiwezea!Lengo la putin hapo mwanzo halikuwa kuivamia Ukraine.
Bali lengo la putin kupeleka majeshi yake mpakani mwa Ukraine ,ilikuwa ana jaribu kuishinikiza Nato kuja kwenye meza ya mazungumzo ili NATO iweze kumhakikishia usalama wa taifa lake.
Lakini hakuna alicho ambulia ya kejeli na vitisho.
Na ndio maana jana Trump alimuita Putin ni mtu mwenye akili nyingi.
Putin aliweka huu mtengo kwa makusudi ili NATO ikishindwa kutimiza matakwa yake iwe ndo kisingizio cha kuivamia Ukraine lakini chakushangaza NATO walishidwa kuutegua huu mtego mwishowe wameiponza Ukraine.
Huwezi kulazimisha muungano wa namna hiyo karne hii. Nchi nyingi zilizokuwa ndani ya USSR hazina mahusiano yoyote ya karibu na Urusi. Zingine zimeingia NATO, kujaribu kuzitoa humo ni Vita ya Dunia.Ilikufa externally but internally ni sehemu ya Soviet, that why Russia wanaweza kuamua chochote na vyovyote nchi zote zilizokuwa chini ya USSR.
Tujipe muda Ukraine hadi May 2022 itakuwa ni sehemu ya Russia kwa msingi wa kuilinda na kulinda maslahi ya Russia yaliyotengenezwa enzi na enzi na waasisi.
Nadhani ni tatizo la saikoloji.Huwa najiuliza watu wanaoshabikia vifo vya wenzao kwa kuwaunga mkono wauaji akili zao huwa ziko kwenye kiungo gani?
Marekani ya sasa hivi ni mbwa asie na meno!Hakuna ujiniasi ni ujinga tu na ubabe wa Kikondoo umemjaa. Wanaokuja kuteseka ni raia wa kawaida maana yeye na familia yake wanalishwa hata kwa senti ya mwisho ya serikali. Kuivamia Ukraine bila sababu ya msingi eti kuonesha wewe ni mbabe ni ujinga. Yeye kajiunga na China na Irani nani kamzuia, mwenzie kusema anajiunga na NATO ni dhambi? Uhuru wa Ukraine anao yeye Urusi?
Usisahau vile JKN alivunja daraja la Mto Kagera kama patsy ama kisingizio.Jet ya mrusi imeshashushwa huko eastern Ukraine, Putin amechoka kuongoza urusi so anataka kumaliza vibaya umri wake
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Anayejazwa upepo ni mamluki mmoja tu mkubwa -- yule jamaa aliyesababisha Trump awe impeached.Russia ni ndugu na Ukrain, wana historia ya pamoja. Mmarekani yeye ni mtu wa nje kabisa. Wakijikita kwenye undugu wao wakazungumza wangefikia suluhisho bila kuua watu wao. Ila wanajazwa upepo na mmarekani wauane wenyewe halafu vita ikiisha wanakuwa exhausted kiuchumi.
Kwani kipindi USA na washirika wake wanavamia Libya,Iraq nk ulikuja na swali hili hili au sababu Urusi kafanya hivyo imeuma mkuuHii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Shauri yetu.Anayejazwa upepo ni mamluki mmoja tu mkubwa -- yule jamaa aliyesababisha Trump awe impeached.
Anayefikiria kuwa USSR itarejea kama ilivyokuwa, ni wishful thinking! Nchi kadhaa zilizokuwa ndani yake tayari ziko katika 'bloc' nyingine.I'm not wishing for anything. The history is just happening right before your little glittering (yet blind) eyes!
Mkuu kitambo huwa nasoma michango ya huyu mwamba ni Pro-America mzuri Sasa wameanza kushuhudia wasicho kitaka povu linawatoka.Haahah USA na rafiki zake walivamia Libya ulikaa kimya, walivamia Sirya ulikaa kimya, walivamia Iraq ulikaa kimya, walivamia Afghanistan ulikaa kimya. Sasahivi hilo povu linatoka wapi?
Mmeanza kulia Lia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
Wewe unaniona Pro-American? Kuna wakati niliwahi kuonekana humu kama Anti-US ama Pro-Russian. Mara nyingi nimekuwa nikiandika michango yangu humu kwa kile ambacho ninakiamini. Haijalishi kiko upande gani.Kwani kipindi USA na washirika wake wanavamia Libya,Iraq nk ulikuja na swali hili hili au sababu Urusi kafanya hivyo imeuma mkuu
Maana najaribu kusoma michango yako mkuu mingi ume take side Sana (Pro-America)
Eehh Ni signal alert kwa China --- after this watasema kumbe inawezekana [emoji16][emoji16]Ukraine ikiondoka Taiwan inaondoka pia