Watu wamekalili, hawajiulizi kiburi kinatoka wapi.Sasa kwa mtu ambaye yuko weak na anipigwa hadi kachakaa,hiki kiburi cha kuchagua wapi mazungumzo yafanyikie anakitoa wapi?
Anayekimbilia nyuklia ndio kachakazwa bwashee!Sasa kwa mtu ambaye yuko weak na anipigwa hadi kachakaa,hiki kiburi cha kuchagua wapi mazungumzo yafanyikie anakitoa wapi?
hakikaAnayekimbilia nyuklia ndio kachakazwa bwashee!
Mmarekani mbinu zake ni janja njanja, Hana ubavu wa direct order kama M Russia hapindishiPutin havizii mtu anakwambia mapema ndio wanaume wanavyoofanya.
Hakuna Mji wamefaulu kuchukua licha ya kujitapa,sasa wameanza mikwara ya Saddam eti nukes ya kupiga Dunia nzima,hiyo haipo ila anaweza haribu nchi kadhaa lakini na yeye atafutika kama Hitler na Russia kukamatwa na kuiweka chini ya wababe mazima.Hahaha.
Hili ni jibu la pili ambalo linaweza kuwa sahihi baada ya lile nililopewa la kwamba ni pride tu kama ilivyokuwa kwa Sadam alipopewa ofa ya kutoroka akasema atafia nchini.
Zile mbwembwe za vita itaisha ndani ya masaa 24 ndiyo tufute rasmi siyo?Wanasiasa wanatafuta mileage tu hawajali watu kufa kila mtu anatizama maslahi yake ndio maana hata yule Rais aliyepita wa Ukraine naye yuko huko barabarani kutafuta kick za kisiasa.
We kwa akili zako, kwanini msigomee hiyo misaada[emoji2955]Kwa akili yako misaada inatokana na kodi za wazungu au makombo ya zile mali walizoiba
ili waibe zaidi?
Ukitaka kujua mchango wa russia militry ndio wanajua.
Anapiga wanaume mikwara mbuziBREAKING: Putin amekiamuru kikosi cha Urussi kitengo cha "nuclear" kikae TAYARI. [emoji24][emoji24]View attachment 2133099
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Si wa kumpuuza huyu. Anaweza sema halafu mkadhani anatishia halafu akafanya kweli.Huenda ikawa ni vitisho tu... Na tukumbuke Germany alishasema jamaa (Putin) kwasasa hatabiriki kabisa
IRAN, INDIA, CHINA na NORTH KOREA wako upande wa URUSI.
Hapa kuna kitu kama nakiona ila sina uhakika.
NAONA DUNIA INATAKA KURUDI MIKONONI MWA BARA LA ASIA. Kwa sababu kijografia URUSI iko bara la Asia.
Sijui ila nimehisi kitu far deep.
Umalaya wako unataka utulazimishe kuunga mkono mashoga? Asilete hizo ARV ukimwi uishe maana tutaogopaAfrica yote kwa makubaliano gani tuliyofanya, uko pamoja na urusi na China ikiwa misaada ya ARV anatupatia USA kweli unamsaliti mtu huyu leo,[emoji848][emoji848]
I like the way unawavuta na wanajaa kwenye 18 zako,ukiwabutua wanakimbia comment zaoLakini ni ajabu kidogo. Au wewe unaonaje?
Fikilia hiyo ni ukraine alafu ndo uje mtiti wa nato mamaee[emoji1787][emoji1787]Anapiga wanaume mikwara mbuzi
Kashachanganyikiwa huyo,alikua analeta dharau.
Alifikiri angekua kashamaliza kazi,ila mtiti ni mgumu
Yaani ukraine inamtoa jasho mpk ana panick kutishia nuclear,uwezo tulioambiwa ni mkubwa anao kumbe hana.
Jamaa kaonyesha udhaifu sana kuingiza mambo ya nuclear. Yeye amalizie kilichompeleka kama kazidiwa arudi Russia.Hakuna Mji wamefaulu kuchukua licha ya kujitapa,sasa wameanza mikwara ya Saddam eti nukes ya kupiga Dunia nzima,hiyo haipo ila anaweza haribu nchi kadhaa lakini na yeye atafutika kama Hitler na Russia kukamatwa na kuiweka chini ya wababe mazima.
Safi sana wanaume wa Ukraine π
View attachment 2133109
View attachment 2133110
View attachment 2133111
View attachment 2133112
Huu ni uoga balaa!!Huyo kama una mahaba nae sawa kuwa nayo tu ila ninauhakika hata warusi hawapo tayari na vita vya nuclear.
NATO hawajaingiza majeshi kwenye operation yake, Ukrain hawana nuclear. NATO hawajasema wanakuvamia wala hawajazungumza lolote kuhusu matumizi ya silaha zao za Nuclear. Kwanini utishie usalama wa dunia na silaha hatari namna hiyo kwa binadamu? Akamalizie kilichompeleka Ukraine. Hata mambo ya mazungumzo aliyotangaza hayajaisha keshahamia kwenye nuclear? UPUMBAVU.
Mimi ndio napokea misaada?We kwa akili zako, kwanini msigomee hiyo misaada[emoji2955]
Mpaka unajua kabisa unaibiwa kwanini tunatumia misaada ya wizi
πππI like the way unawavuta na wanajaa kwenye 18 zako,ukiwabutua wanakimbia comment zao