MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,606
- 4,914
Russia inaonekaneka maji shingoni huko....muda huu atangaza vikosi maalum vinavyoshughulika na nuke kukaa tayar....hii ina maana gani?
Inaonyesha wazi Russia pamoja na jeshi kubwa na lenye nguvu kawashindwa ukraine 1 in 1(ngumi) sasa kaamua au kaweka kusudio la kukimbilia mawe(nuke)[emoji1][emoji1]
Inaonyesha wazi Russia pamoja na jeshi kubwa na lenye nguvu kawashindwa ukraine 1 in 1(ngumi) sasa kaamua au kaweka kusudio la kukimbilia mawe(nuke)[emoji1][emoji1]