The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wewe hiyo geresha ya nukes kamtishie Mkeo wa Russia,awali Ukraine alikataa mazungumzo ya Minsk kwa sababu Belarus ametoa wanajeshi kuivamia akataka eneo huru na akapendekeza sehemu.Ukraine imetangaza kukubali mazungumzo na Russia nchini Belarus. Haya ya nakuja muda mfupi baada ya Putin kuamuru Vikosi vya Nuclear kujiweka TAYARI.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mwelevu unaeishi kwa wajinga[emoji16]. Kiongozi wa wajingaNi ngum kuishi nchi ya wajinga kama wewe uwe kiongozi usipige 10%.
NATO wanachochea vita.Iko hivo,,, na Ukraine ndio uwanja wa Vita, Mrusi akiona kazidiwa atakuwa Kama mbwa kichaa, atarusha makombora kila upande atakaona ni adui yake,,,
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ujue waongoza vita wao hawana akili,wameingia na jeshi kubwa na silaha lundo bila strategy mwisho wa siku loss ya askari na vifaa imekuwa kubwa..
Na wakifanya mkataba wa kusitisha mapigano, Ukraine watatumia hiyo nafasi kujimobilise na pia watakuwa wamejifunza kwamba wawe na jeshi imara kuliko ilivyo awali bila kutegemea NATO..
Pili wananchi wa Ukraine wameungana hadi sio vizuri.
Putin sio wa kumuamini alisema anapeleka wanajeshi wawili kwenye ile miji ikiwemo Donetski iliyojitangaza kutokuwa Ukraine. Akasema anaenda kutoa misaada ya kibinadamu.Kuna mazungumzo yatafanyika kwenye mpaka wa Belarus na Ukraine hapo kesho, lakini mzee Putin anaandaa mamitambo ya nuclear ingawa amesema haimaanishi atayatumia.View attachment 2133114
Ukiwa na nuclear inakuzuia kupigwa na nuclear au!?sasa nato hawana nyuklea anafikiri?
Nani aliwapeleka? Maskini kuna mdada anasoma chuo kwenye Mji wa Sarkyiv wa pili Kwa ukubwa ambao Russia waliingiza Jana kabla ya kufurushwa ila sijui halo yake baada ya bormberdment maana walikuwa chini ya mahandaki ya chuo .
Mkuu URUSI, CHINA, IRAN, INDIA, na N KOREA hao wanaongoza kwa NYUKLIA na wako upande mmoja.sasa nato hawana nyuklea anafikiri?
Hakuna anayeweza kumpiga usijidanganye hakuna mshindi wa Vita vya nuclear.Putin ni mwoga, sasa kwani yeye peke yake ndiye ana nuclear? Alifanya hesabu za kitoto sana kuwavamia Ukraine [emoji1255]. Akirusha hata kombora moja la nuclear atabondwa na inaweza ikawa ndio mwisho wa "balance of power".
Hatujasema nukilia lakiniLakini si humuhumu ndimo mlipokuwa mkisema anatumia silaha za kishamba (kizamani)... Sasa hizo si ndio advanced weapons...??
Yaa kikubwa wakutane wasitishe mapigano kwanza afu mengine yaendelee.Hii sio vita ya diamond na kiba jamani, ushabiki upungue
Mimi naishi kwangu na hamna wajinga, wewe ndio unaishi kwa wajinga..Mwelevu unaeishi kwa wajinga[emoji16]. Kiongozi wa wajinga
Kikao amekubali kitafanyika kwenye mpaka na Belarus lakini upande wa Ukraine.Putin sio wa kumuamini alisema anapeleka wanajeshi wawili kwenye ile miji ikiwemo Donetski iliyojitangaza kutokuwa Ukraine. Akasema anaenda kutoa misaada ya kibinadamu.
Ila Cha kushangaza anazidi kuserereka kuelekea Kiev Sasa sijui na huko nako anenda kutoa misaada ya kibinadamu!!!!
Don't trust Putin ndio maana Raisi wa UKRAINE anagomea hata hicho kikao.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ww1 urusi alipigwa na sehem yake kubwa ilichukuliwa, ukubwa wa eneo kama ufaransa, vita ya pili alikuwa anapigwa na german alikuwa ana advance sana ndani mpaka apo marekani alivyoingia ndo urusi nae akapata nguvu kwakeKwani aliyemsambaratisha ujerumani during ww1 na 2 ni nani kama siyo usoviet chini ya Russia. Rejea historia yako vzr ujerumaji alitangaza kusarenda baada ya kichapo hevi kutoka usoviet