LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu URUSI, CHINA, IRAN, INDIA, na N KOREA hao wanaongoza kwa NYUKLIA na wako upande mmoja.
hahaa, wabongo sie? aya sawa wao ndo wanaongoza kwa nyuklia, mfano ndo wanapiga hizo nyuklia zao , ww mwenzangu unahisi utaishi kwa raha hapa duniani?
 
Ukraine wamekubali kufanya mazungumzo na Urusi mpakani mwa Belarus
 
❗️US & NATO 'do not threaten' Russia, Washington adds that Moscow putting its deterrent forces on high alert based on threats that don't exist - White House
RT
 
Mjermani kipindi anapigwa, nan alikuwa anaongoza uchumi?
 
Ngao ya Ukraine hizo, Russia akiwaua waanze kuripoti kuwa wanaua raia wasio na hatia.
Vita ni vita Mura. Hivyo ni vita vya putin na raia wa Ukraine. Puttin anatakiwa asiwaangushe kwa hicho kisingizio.
 
Vita ni mbaya sana jamani,uchumi wa nchi zetu unaenda kushuka mungu atutete mazungumzo ya Marais hao Yakomeshe vita misina furaha ,Nahurumia wanaume walioamriwa kujiunga na jeshi bila ridhaa Yao,watoto ,wazee na wanawake .Wakati huu ni wa kumwomba mungu atusaidie nawala sio kuegemea upande Fulani kwamba ni bora,tuwatie moyo,tuwaombee,vita hii naona itasambaa sana,Leo kwako hatujui kesho wapi.
 
Ngao ya Ukraine hizo, Russia akiwaua waanze kuripoti kuwa wanaua raia wasio na hatia.
Na hicho ndio Ukraine walikuwa wanakitafuta sana lakini Russia walikuwa smart wana jengo moja tu lilipgwa basi Media zote wanaonesha hilohilo utasema 9/11 Newyork.
 
Una akili sawa? Yaan NATO watangaze kupeleke vikosi afu wewe ucheke??
Utakuwa na tatizo la akili kama Putin.

Yani unaona sawa hizo silaha kuanza kusogezwa bila kutazama consequences zake kwa mustakabali wa dunia yote. Taifa gani Ulaya na magaharibi hawana hizo silaha? Wakisema wote wazitoe patakalika?

Acha kuwa na mawazo ya kibinafsi kama ya Putin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi. Ila hizo milage anazipata vipi na kazidiwa anapigwa? Ilitakiwa muda huu awe amekubaliana na Puttin kuhusu usalama wake wa kisiasa sababu amezidiwa. Au hajazidiwa bado?
Hawezi kukuelewa hapo Mkuu point yako
 
Nyie watu wa ajabu sana..
Unasema kila mtu anazo, halafu utaki wazitumie kwan hizo ni toi?
Nadhani ungekuwa kweli huzipendi ungelaani kuzimiliki na kutengeneza na sio kuzitumia.
 
Baada ya kuona hayo ameamua kukubali mazungumzo hapo kesho. Wakati wa mazungumzo hakuna ndege za kijeshi kuruka Wala mijongeo yoyote ya kijeshi.
Acha kudanganya na kujidanganya. Rais Ukraine alikataa mazungumzo kufanyikia Belarus. Baada mkong'oto kuendelea amekubali. Na anaenda kwa terms za Russia. Na hapo utakuwa ni ushindi kwa Russia, NATO watakuwa wameshindwa rais atalazimishwa ku step down.
 
Warusi wako busy kwenye ATMs wanatoa hela, thamani ya ruble inashuka kila muda ukienda, volatility ni kubwa na hapa pressure ya nchi kuiondoa Russia kwenye SWIFT inaendelea. Benki kuu yao huwa ni wazoefu wa kufanya intervention na walijiandaa muda ila kuna muda ujanja unatumia gharama.

Hakuna namna Urusi itakwepa vikwazo eti "imevizoea". Vile vilikuwa vinawekwa na Uingereza na USA mara hii wanaoshinikiza ni majirani wa Urusi waoga wanaotaka kuiangusha. Hapa ndio shida kwa wanasiasa kina Lavrov inakuja, wao walidai vikwazo tulijipanga navyo. Extent inayokuja sidhani kama walijipanga nayo. Jeshi lao limechelewa hivyo linazidi kuwaumiza. Kila projection waliyokuwa nayo walikosea. Should we say that this is the beginning of the end?

Ningependelea Urusi iwepo imara. Hawa NATO watatutia vidole machoni wakiachwa wenyewe
 
Kwani Mimi nimezungumza Nini na wewe unazungumzia Nini? Mazungumzo yatafanyika kwenye mpaka na Belarus lakini upande wa Ukraine.
 
ni hatari sana kuwa na kiongozi mchekeshaji. Yeye kila kitu anaona utani hata mambo siliasi

Wanatumia mabilioni ya dola kungamiza dunia,kwenye hiyo ramani na hapa Tz kuna moja wapo ya hizo maabara,ni hatari sana mara corona mchanje,mara ebola kumbe wenzenu wametulia wakijipongeza kwa kazi kama wallivyotarajia.
Hakuna Hizo maabara....Hizo Ni propaganda Za urusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…