Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Cha msingi mkuu ni ku ceasefire kwanza raia wa Ukraine wanapitia shida Sana wakati huu uku nchi zilizo chochea raia wake wakipigana Vita ya maneno TwitterHayo mazungumzo hayatokua na tija kwa haraka lazima vikao viendelee next stage labda ndo itapatikana agreement mana kila mmoja ana temper atakuja na masharti kibao,ngumi ziendelee kwanza.