LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hayo mazungumzo hayatokua na tija kwa haraka lazima vikao viendelee next stage labda ndo itapatikana agreement mana kila mmoja ana temper atakuja na masharti kibao,ngumi ziendelee kwanza.
Cha msingi mkuu ni ku ceasefire kwanza raia wa Ukraine wanapitia shida Sana wakati huu uku nchi zilizo chochea raia wake wakipigana Vita ya maneno Twitter
 
Nina nyuklia kwa nini nisiitumie? Eti inatengenezwa kwa ajili gani? Yatumike tu

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha Mungu acha mabomu yalipuliwe sasa yalitengenezwa ya kazi gani wanasayansi wameumiza vichwa afu kazi yao isionekane
 
Mzee sote tunaona. Hakuna upinzani wowote. Na lengo la Putin limetimia. Na amewaonya hao NATO atakayesogeza pua ataanza naye.
Jamaa analeta Ushabiki maandazi watu wanashambulia mji mkuu alafu mtu anasema Kuna upinzani ,Mimi binafsi naona hii ni hatua muhimu Sana ku- ceasefire kwanza
 
Too irrelevant 😊😊😊😊
 
Sawa mtabiri. USA pale syria na Libya kajenga marafikiaana alipeleka zawadi.
 
Mpaka Sasa sio Vita ya Russia vs Ukraine, bali ni Russia vs NATO,,, ndio maana katoa alert kwa vikosi vya nuclear vijiandae.
Ngoma tamu hii

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Nato wanaingiaje hapa wakati yeye anapigana ukraine na ukraine....Nachokiona ni Putin kupanic na hii Panic inaweza kuiingiza dunia kwenye shida
 
Mkuu hiki kitu hakihitaji ushabiki maandazi watu wanakufaa na Vita sio kitu Cha kushabikia tumeyaona Libya,Syria,Somalia nk ifike muda tuone utu ni muhimu kuliko ushabiki wa Pro-America+NATO na pro-Russia

ni kweli, hata mimi siungi mkono vita, hapa ninacheka vile baunsa kakalishwa na kimbau mbau.
Putin ni warmonger wakati umemvua nguo yeye na jeshi lake wamapata aibu kuu zile porojo za kutajiwa majina ya silaha anazomiliki zitapungua hapa Jf. 😊😊
 
F***k putin anataka kutuchafulia maji ya Ocean na minuclear,walai hatutavua samaki tena😬😬😬
 
Mlianza kusema hata vamia akavamia sasa mmebadilisha maneno.
 
Yaani RT ambayo ni state media ya Urusi ibalance stories kuliko vyombo visivyo na maslahi na mgogoro? Ushabiki mwingine shida sana
Jaribu kufuatilia RT wako vizuri sana, ila kama Unafuatilia BBC, CNN na FOx pekee utalishwa habari ambazo wanapenda uzipate....pitia sasa kwenye mitandao ya Twitter, YouTube na Meta vinaonyeshwa vifaru na magari ya urusi tu yanavyoungua huonyeshwi hata kidogo shughuli ya Urusi yanavyochanja mbuga kuelekea makao makuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…