LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Putin kakukosea nin mkuu?

EU, Nato, USA, Israel wameleta machafuko ktk nchi za watu kupelekea kuua mamilion ya watu wasio na hatia e.g

Libya
Iraq
Afghanstan
Syria
Yemen
Palestine

Ongezea
Unapotaja hasara usiache kutaja na faida [emoji41]
 
Naangalia mechi ya simba mkuu. Nikitulia ntasoma. Weshafungwa 2
 
sio wanajinyoosha wenyewe russia? baada wapigana kuupandisha uchimi wao

wanajifanya kuendekeza vita , sasa ngoja wa drop wenzake wampige gape
 
Yote haya unayajua wewe ila uk wenyewe hawayajui daah hiinchi uhuru umezidi sana aisee
 
Pale hiroshima na Nagasaki marekani walirusha mavy yako?[emoji3525]
 
Wapuuzi hao Dunia haitaki ubabe warudi mezani waendane na dunia, ndio tatizo unakuwa na kiongozi kazi yake ni kubadilisha katiba tuu ili aongoze yeye.

Chief spy alimpa ushauri mzuri wa negotiations akamwambia akakae.
 
Sindo wanaondoka wawaachie vita Yao Ila SASA wanarudisha ili wapigane vita isiyowahusu1[emoji23][emoji23]
 
Binafsi nafikiri kusingetokea chochote

Kwanza tambua Ukraine sio mwanachama wa NATO ndio maana Russia anatamba

Kuna mwaka kama sikosei 2015, Russia alishambulia vikosi vya Turkey vilivyokuwa Syria Then Turkey akapiga ndege za kivita za Russia na akaua marubani wa zile ndege hizi fujo zilifanyikia Syria mpakani na Turkey.

Basi the next morning Turkey akaamkia Brussel akafanya vikao na NATO, aisee Russia alifyata mkia kimyaaaa japo scenarii hii ni tofauti na ya Ukraine
 
Kwa hiki kinachoendelea hivi sasa kati ya Ukraine na Russia nadhani lama raisi wa Marekani angekuwa Donald Trump saa hizi Russia ingekuwa imeshafutika kwenye uso wa dunia hii
Trump angemfuata Putin na kumalizana nae au wangekutana sehemu kama alivyomfuata Kim na kumalizana nae.
 
Kwahiyo unataka kuniambia angefyata mkia mwenyewe Russia?

Maana Trump yule ni chizi kabisa angeshaanza kuichapa Russia
 
Nchi imezungukwa, airport zote,anga lote zimepigwa Pini na warusi.

Hizo silaha zinaigizwaje mkuu
Changamoto zipo! Baadhi ya miundombinu zimeharibiwa, hasa viwanja vya ndege. Silaha zinaingizwa hasa kupitia Poland, magharibi mwa Ukraine.

Mbinu zinazotumika kuzisafirisha ndani ya Ukraine ni za siri kijeshi. Kinachofahamika ni kwamba, usafirishaji hauhusishi misafara mikubwa ama convoys. Pia, msafara unahusisha mifumo ya ulinzi kama machine guns na stinger missiles dhidi ya ndege za kivita zinazoweza kutumwa na adui kujaribu kushambulia msafara wa kuzipeleka hizo silaha eneo ambalo zitakwenda kutumika.
 
Sema wanaume unaowajua wewe ndio waligeuzwa wanawake

Maana Wanaume wengine wamebaki kuwa wanaume jana leo na milele

Hawajageuzwa
Tuko pamoja kuwa kuna wanaume waliogeuzwa wanawake,na kuna wanaume wamebaki kuwa wanaume leo na hata milele,na wote nimewatolea mfano kwa majina na kwamba kilichoandikwa na Hilda ni sahihi kwa kuwa wanaume wa aina hiyo wapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…