LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
wewe MKUU unajua hizi njia halaf RUSSIA hawajui
kongole MKUU
 
Mkuu hayo madhara yanajulikana sote tumejifunza kupitia historia ya Hiroshima na Nagasaki,hoja yangu ni kuwa hizo slaa za nyuklia hazikutengenezwa kama mapambo Bali zitumike na lazima IPO siku zitatumika.
 
kwaiyo unataka kunambia angefyata mkia mwenyewe russia?

maana trump yule ni chizi kabisa angeshaanza kuichapa russia
Sifikirii kama USA ange.tia mguu zaidi ya kutoa support tu

Kwanza UVIKo19 umengusha sana chumi za izi nchi kubwa so nafikiri Congress wangefikiria mara mbili na wange kataa tena kama speaker ni huyu mama Nacy yule na Trump ideology zao zilikuwa tofauti
 
Wanachotaka kiwe ni Ukraine iwe uwanja wa vita kwaajili ya kumdhoofisha Urusi... Sasa Ukraine yenyewe wanakaza fuvu wakijua wanasaidiwa kwa nia njema
Kila Nchi ina uhuru wa kujilinda,hakuna sababu ya kulazimishwa,hapo ni kama kusema Nchi jirani ziache kuwa na majeshi au na ushirika wa kijeshi,jambo ambalo haliwezekani.

 
Kama hadi kesho Kyiv itakuwa haijatekwa Urusi hataiteka, maana nimeona reinforcements
Eti ratiba yao ni hadi march 2 so huenda nguvu kubwa ikatumika ndani ya siku hizi ila sidhani kama watafaulu maana wazungu wameamua kuwasaidia Ukraine.





 
Uharisia wa hi Vita bado Ni mgumu hadi pale risasi ya mwisho itavyopigwa,wengi wemekua wanasema urusi inaonenekana kushindwa hi Vita bila kuangalia uharisia,Kama vile mazingira ya mapigano ,uchumi,idadi ya nchi anzopigana nazo urusi kwa Sasa,
-tukianza na idadi ya nchi tunaona karibu nchi zote za magharib zimejiingiza ktk hi Vita indirectly kwa kumpa sapoti ukrain kumuongezea siraha,na kumfunga urusi kwa vikwazo ,
-kwa upande wa mazingira,hapa tunaona urusi anakua na ugumu Sana wa kufanya heavy hambushi kwa hofu ya kuuwa raia wasio na hatia ambambo ukrain imeamua kuwapa siraha wakapigane,hivyo urusi anapigana kwa tahadhari kubwa Sana inayomfanya aende kwa utaratibu,
-aina ya vikosi anavyotumia urusi,kiuhalisia urusi hawezi kupeleka askali wake muhim Kama Chambo wakati hajui aina ya Vita atavyopigana,mda na uzito,hivyo kiasi kikubwa Cha askali anaotumia Ni wale waasi wa chechenia Kama Chambo Cha kupima nguvu za adui zake hivyo Hadi Sasa Ni ngumu kujua Kama urusi ameshindwa au ameshinda,
 
Kwahiyo urusi walikubaliana na jeshi la Ukraine kuipindua serikali yao. Hizi habari wenzetu mnaziokotaga wapi kwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…