Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
wewe MKUU unajua hizi njia halaf RUSSIA hawajuiChangamoto zipo! Baadhi ya miundombinu zimeharibiwa, hasa viwanja vya ndege. Silaha zinaingizwa hasa kupitia Poland, magharibi mwa Ukraine.
Mbinu zinazotumika kuzisafirisha ndani ya Ukraine ni za siri kijeshi. Kinachofahamika ni kwamba, usafirishaji hauhusishi misafara mikubwa ama convoys. Pia, msafara unahusisha mifumo ya ulinzi kama stinger missiles dhidi ya ndege za kivita zinazoweza kutumwa na adui kujaribu kushambulia msafara wa kupeleka silaha eneo ambalo zitakwenda kutumika.
kongole MKUU