LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ndio maana hataki NATO wawe karibu yake. Yeye hadi atoke huko kote maana yake atatumia muda mrefu...
Hili limekuwa funzo kwa Mchina, hataenda Taiwan
 
Putin hatabiriki
 
Kwani Belarus i vita inayoendelea muhusu adi aishambulie Ukraine?
 
Na watu wengi hawaelewi kuwa nguvu anayoitumia Urusi ni ndogo. Ikiwa mkakati wake hautokamilika kwa muda aliyojiwekea. Suala litakalobaki ni moja tu nalo amalize vita. Akifikia hapo yule Rais anayetaka kuonekana shujaa watu wataanza kumuita mjinga.
Urusi hamta ruhusiwa mfanye hayo na huu ndio mwisho wenu
 
Punguza jazba sisi washabiki tu. Kutukana hakumalizi vita hivi...
Kaka unafanya tu speculation tu wewe sio war specialist, Russia anafanya heavy offensive tena mpaka air support unasema ametumia nguvu kidogo, you are too bias , kimbinu Russia ndio kafika mwisho hawezi kufanya destruction dunia imuangalie tu bila retaliation, dunia nzima Putin anaonekana aggressive kwa hiyo acha tuone future
 
Urusi ingekuwa inatumia nguvu kubwa mpaka sasa uharibifu wa miundo mbinu ungekuwa mkubwa sana na walio uawa wangekuwa maelfu kwa maelfu tofauti na sasa.

Hapa ni kuomba mazungumzo ya leo yafauru ili watu wasiendelee kuteseka.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…